Steven Isack
Member
- Nov 19, 2020
- 20
- 10
Mimi naona Yuko sahihi mkuu..........sababu bubu,kiziwi na kipofu wote ni walemavu tofauti ni kwamba MACHO ni ubongo,na ukiwa unakula na kipofu usimkumbushe kuwa chukua nyama kwani atajihisi zilikuwemo nyingi zaidi hivyo huna upendo nae,hapo nashauri bwana bubu ASIMWAMBIE kipofu Bali atumie ISHARA kumtaka nayeye(heri kufa masikio sio macho,heri kufa masikio sio macho)