Rais hajui mengi sanaa, you have no idea how much she doesn't know.Watanzania mna matatizo gani? Kila siku ni ''ifike mahali''. Ifike mahali gani? Hivi unadhani wanafanya haya bila Samia kujua? Ni lini umeshasikia wahusika wakikamatwa au hata juhudi za kuwafuatilia zikifanyika?
Wazo bora sana hili. Uwe ni uamuzi wa kuliokoa taifa.Ifike mahali SSH astaafishe baadhi ya maafisa wa polisi kwa manufaa ya umma. Baada ya hapo achukue maafisa wadogo wa TPDF wapelekwe mafunzo ya polisi kwenye nchi yenye polisi wanaojielewa kama UK kisha aje awape ukamishna na uongozi ndani ya jeshi la polisi. Hao ndio waongoze reform.
Huwezi ku reform utamaduni wa watu. Polisi wa Tanzania ni watu wenye utamaduni wa kuvunja sheria, haiwezekani kuwabadilisha.
Rais anajua yote ndugu yangu...hajajigeuza chura kiziwi hivihivi....ni kwamba anasikia kelele na malalamiko yoteRais hajui mengi sanaa, you have no idea how much she doesn't know.
Na hivi vyombo vya ulinzi na usalama anaviogopa kwa kiasi fulani. Mwanzoni alipojaribu ku push reforms wakaibuka panya road na majambazi wanaotumia silaha, ikabidi anywee na kuwaacha wanendelee kuwapiga risasi na kusema "mtuhumiwa alijirusha toka kwenye gari akafariki". unadhani ile ilikuwa coincidence??
Huu ndio upumbavu wanao fanyiwa waTanzania. Huyu alijuwa alipo huyo mateka, na siyo ajabu alitekwa kwa amri yake DC.“Serikali haijawahi kushindwa jambo, nawaomba tuwe watlivu,” amesema Msando.
Tuna matatizo ya ajabu sana kama nchi, sijui kwa nini!Watanzania mna matatizo gani? Kila siku ni ''ifike mahali''. Ifike mahali gani? Hivi unadhani wanafanya haya bila Samia kujua? Ni lini umeshasikia wahusika wakikamatwa au hata juhudi za kuwafuatilia zikifanyika?
Kwa nini usimpeleke Samia mwenyewe huko akafundishwe namna ya uongozi bora?Ifike mahali SSH astaafishe baadhi ya maafisa wa polisi kwa manufaa ya umma. Baada ya hapo achukue maafisa wadogo wa TPDF wapelekwe mafunzo ya polisi kwenye nchi yenye polisi wanaojielewa kama UK kisha aje awape ukamishna na uongozi ndani ya jeshi la polisi. Hao ndio waongoze reform.
Huwezi ku reform utamaduni wa watu. Polisi wa Tanzania ni watu wenye utamaduni wa kuvunja sheria, haiwezekani kuwabadilisha.
Unajitahidi sana kutetea ujinga, sijui unafaidika nao vipi!Rais hajui mengi sanaa, you have no idea how much she doesn't know.
Na hivi vyombo vya ulinzi na usalama anaviogopa kwa kiasi fulani. Mwanzoni alipojaribu ku push reforms wakaibuka panya road na majambazi wanaotumia silaha, ikabidi anywee na kuwaacha wanendelee kuwapiga risasi na kusema "mtuhumiwa alijirusha toka kwenye gari akafariki". unadhani ile ilikuwa coincidence??
NIna wazo kama lako mimi mashaka kwa Msando DC,wote waliokengeuka CHADEMA wanajifanya wanajua mbinu za kuinyong'onyeza eti...Amini huyo kijana atakuwa ni tishio kwa CCM na mtetezi wa watu na jamii inamkubali na pengine ametia nia hata ya kugombea udiwaniHuu ndio upumbavu wanao fanyiwa waTanzania. Huyu alijuwa alipo huyo mateka, na siyo ajabu alitekwa kwa amri yake DC.
Ushenzi huu lazima ukomeshwe.
Uhalisia wa mambo huwa hauiwi "mzuri" na wenye kuwaridhisha wote.Unajitahidi sana kutetea ujinga, sijui unafaidika nao vipi!
Huu ndio ushauri ambao ungempa Samia kama angekuteua uwe mshauri wake
Is your suggestion realistic?? Hali iliyopo ndio hii, uipende au uichukie lakini ndio uhalisia wenyewe, unapotaka kushauri jambo lolote lazima suluhu yako iwe na uhalisia. Kinyume chake utakuwa unaongea mambo ya kufikiria.Kwa nini usimpeleke Samia mwenyewe huko akafundishwe namna ya uongozi bora?
Matatizo yote yanaanzia kwenye ngazi hiyo kutelemka chini.
Unakwenda kufundisha polisi, unawaleta kwenye mfumo ulio oza halafu utegemee watafanya kazi nzuri?
Mpaka uthibitisho wa maneno ya mtekwaji beyond reasonable doubt. Aliyetekwa naye haaminiki sana kwenye maelezo.Mbona kuna matukio mengi na yeye amekaa kimya? Hivi yule aliyetaka kulisha fisi na mamba mwili wa binadamu kule Katavi amechukuliwa hatua gani? Alisema alipelekwa Oysterbay polisi, na akaja mhuni mwenye jezi ya simba kumhoji!
Kwenye Awamu ya 5 mambo watu wengi waliathirika kwa maamuzi ya kukurupuka kwa vile Magufuli alikuwa anafukuza watu bila kufuata sheria. Na Mahakamani kuna kesi nyingi ambazo waliofukuzwa wanadai fidia.Utekaji umefanywa na vyombo ambavyo Raisi anaviongoza. Kwa sababu hiyo Raisi anastahili lawama. Kama Raisi hajahusika, na hataki kulaumiwa, basi anapaswa kuwafuta kazi waliohusika.
Kama unataka kujua whether Jeshi la Polisi linafanya kazi au halifanyi kazi, pata taswira ingekuwaje bila Jeshi la Polisi.Ila jana au Leo amelisifia jeshi la polisi Eti linafanya kaci nzuri sana na Kwamba nchi imetulia eti.
Tukio kama la kutekwa huyo jamaa unahitaji uchunguzi kweli? Raisi anastahili lawama kwa matukio hayo kwasababu yanafanywa na vyombo vya dola anavyo viongoza. Na majuzi tu Rais alipokea ripoti ya tume ya haki jinai halafu vyombo vyake bado kinaendelea na utekaji.Kwenye Awamu ya 5 mambo watu wengi waliathirika kwa maamuzi ya kukurupuka kwa vile Magufuli alikuwa anafukuza watu bila kufuata sheria. Na Mahakamani kuna kesi nyingi ambazo waliofukuzwa wanadai fidia.
Tuache rule of law itamalaki. Atuhumu mtu wa kwanza, achunguze mwingine then mamlaka ya nidhamu ichhukue hatua baada ya ripoti ya uchunguzi
Kwa siku 29????Daaaa! Suala lipo kwenye uchunguzi wa polisi? Polisi imekiri kumshikilia. Polisi wanachunguza Nini hapo?Je huo ni ukamataji Gani? My country 😭 hakika majambazi ni wengi
Abduction Squads have several Techniques for Abduction of their Targets. It's an extremely difficult to detect an Abduction attempt unless you get tipped by good Samaritans.Asingekubali kufuatana na huyo mhuni aliyemwambia akaona nyaraka. Angemvurumusha na kumwambia kama aende zake akadai hizo fedha, japo wangeweza kumfuata tena kwa njia nyingine.