Mke wa Kombo alivyosimulia jinsi Kombo alivyotekwa na watu wasiyojulikana na juhudi zilizofanyika kumtafuta Julai 2, 2024


Duh. Yaani wasiojulika wapo mpaka vijijini ...... Halafu juzi nimesikia Maza kasema anafanyia kazi maoni ya Tume ya Maadili sijui. If it's true basi aongeze kasi ..... Il;a kwa jinsi anavyoyakalia kimya haya matekaji, inawezekana yeye ni mfaidia wa haya.
 
Abduction Squads have several Techniques for Abduction of their Targets. It's an extremely difficult to detect an Abduction attempt unless you get tipped by good Samaritans.
Ni kweli kabisa. Ila kwa hali ya kawaida mtu hawezi kuja nyumbani kwangu aniambia eti kuna mtu amemuuzia nyumba yangu hivyo niende naye akanionyeshe. Hata kama hana nia ya utekaji lakini ni lazima nitamtoa nduki.
 
Ni kweli kabisa. Ila kwa hali ya kawaida mtu hawezi kuja nyumbani kwangu aniambia eti kuna mtu amemuuzia nyumba yangu hivyo niende naye akanionyeshe. Hata kama hana nia ya utekaji lakini ni lazima nitamtoa nduki.
Tambua tu kwamba Kuna mbinu nyingi sana zinatumika katika Operesheni za Utekaji-nyara.
Je, vipi katika Operesheni ya Utekaji akitumiwa Kiongozi wako wa Serikali ya Mtaa ambaye unamfahamu vizuri au akitumiwa ndugu yako wa damu wa karibu sana naye utaweza kumtoa nduki??????
 
Hujanipa hata kidogo. Najua sana kuna mbinu nyingi za utekaji wala sihitaji kuambiwa. Unaweza hata kupigwa kikumbo kwenye mtaa ulio busy ukaingizwa kwenye gari kwa haraka na watu wasijue. Sasa tuachane na suala la utekaji kabisa. Wewe umekaa nyumbani kwako halafu anakuja mtu anaanza kuulizia ulizia kuhusu nyumba au kiwanja ulichojenga na ambacho unajua ni chako. Anakwambia kuwa kuna mtu amemuuzia, kama huamini twende kwenye lile gari pale nikakuonyeshe hati. Hivi kweli mtu wa aina hii unaweza kumsikiliza na kwenda naye? Mmi kwangu ni big no na tena nitamtimua vibaya sana. Nitamwambia nenda kaleta aliyekuuzia na nitakuwa mkali sana unless kama hicho kiwanja sina uhakika kama ni changu.
 
Uhalisia wa mambo huwa hauiwi "mzuri" na wenye kuwaridhisha wote.

Wakuu wa taasisi tu wanashindwa kujua kila linaloendelea kwenye taasisi zao, sembuse rais wa nchi nzima.
Wewe kweli ni uchwara....unafikiri ni yupi mtu sahihi wa kubebeshwa lawama juu ya mambo haya????!Tuambie basi....
 
Uhalisia wa mambo huwa hauiwi "mzuri" na wenye kuwaridhisha wote.

Wakuu wa taasisi tu wanashindwa kujua kila linaloendelea kwenye taasisi zao, sembuse rais wa nchi nzima.
Nina mashaka kama unaelewa unacho kiandika hapa!

Pamoja na kwamba hilo la "...rais, au wakuu wa taasisi.." kushindwa kujua kinachotokea ni hoja mbovu kabisa; lakini unajifanya hujui sababu za kuwepo na hali mbovu hiyo katika maeneo hayo.
 
Is your suggestion realistic?? Hali iliyopo ndio hii, uipende au uichukie lakini ndio uhalisia wenyewe, unapotaka kushauri jambo lolote lazima suluhu yako iwe na uhalisia. Kinyume chake utakuwa unaongea mambo ya kufikiria.
LOOooooh!

Kwa hiyo waTanzania wapende au wasipende, ni lazima wakubali hali hiyo mbovu?
Wewe upo kwenye ngazi tofauti sana ya uelewa wa haya mambo!

Hata hivyo, mkuu 'Mzalendo...' naona tuliache hili, maana sioni jinsi tunavyoweza kukubaliana kati yetu juu yake.
 
Wewe kweli ni uchwara....unafikiri ni yupi mtu sahihi wa kubebeshwa lawama juu ya mambo haya????!Tuambie basi....
Mtu sahihi wa kubebeshwa lawama kwa madhila kama haya ni Wananchi wenyewe kutokana na wao kuzubaa na kukubali kuwa wajinga na/au waoga wa kudai au Kupigania haki zao za msingi ikiwemo na kudai Katiba nzuri ya nchi yao.
Kumbuka: "Haki huwa haitolewi kama zawadi na mtu mdhalimu, ni lazima ipiganiwe na wale watu wanaodhulumiwa."
Martin Luther King Jr.
 
Ni kweli kabisa. Ila kwa hali ya kawaida mtu hawezi kuja nyumbani kwangu aniambia eti kuna mtu amemuuzia nyumba yangu hivyo niende naye akanionyeshe. Hata kama hana nia ya utekaji lakini ni lazima nitamtoa nduki.
Huyo kijana msimlaumu alikuwa hajawahi kutekwa. Polisi walijaribu kumteka Mdude Chadema, akiwa tayari ni mzoefu, akawashtukia akiwalengesha eneo lenye mkusanyiko wa watu na akapiga mayowe. Polisi ikabidi wawe wapole.
 
Wewe unaliweza hilo? Tuanzie hapo
 
Huyo kijana msimlaumu alikuwa hajawahi kutekwa. Polisi walijaribu kumteka Mdude Chadema, akiwa tayari ni mzoefu, akawashtukia akiwalengesha eneo lenye mkusanyiko wa watu na akapiga mayowe. Polisi ikabidi wawe wapole.
Mkuu sijamlamu hata kidogo. Nilikuwa nasema upole usizidi sana. Kutekwa wangeweza kumteka hata kwa njia nyingine lakini kwa hali ya kawaida mtu akija kuuliza uliza mambo ya nyumba yako na kusema ameuziwa sehemu huyo ni wa kufukuza kama mbwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…