Mke wa kuoa

Mke wa kuoa

Eliezar Mlwafu

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
449
Reaction score
140
Natafuta mke wakuoa awe mwalimu anaye fanya kazi dar na awe mkazi wa mbeya,hata kama atakuwa anafanya kazi mbeya itakuwa vizuri.umri 19-23,awe mkristo kamili mwenye maadiri mema 0718601714
 
Hilo hapo juu ni my real name ,co kama nampenda kisa vicent hapa mm mwenyewe ninq vicent so nimeona mwalimu atanifaa sana nifanye naye maisha
 
Utapata nadhani wahusika wamekusikia
japo me si mwlaimu ningekuwa, ningejitosa
 
Utapata tu mkulu....waalimu wapo wengi sana!!

Ila to be honest, mwanamke wa kumtokea mwenyewe ana raha yake atiii!!!

Yaani najaribu kuimagine ile chemistry inayojengeka since first sight na kuendelea...
 
Natafuta mke wakuoa awe mwalimu anaye fanya kazi dar na awe mkazi wa mbeya,hata kama atakuwa anafanya kazi mbeya itakuwa vizuri.umri 19-23,awe mkristo kamili mwenye maadiri mema 0718601714

mmmhh kila la heri "mkristo"
 
hapa hata mimi nakuunga mkono tafuta ila kama yupo nesi miaka 19-23,24 nami nahitaji awe kanda ya ziwa au kati except musoma 0759213600,0784213600
 
Natafuta mke wakuoa awe mwalimu anaye fanya kazi dar na awe mkazi wa mbeya,hata kama atakuwa anafanya kazi mbeya itakuwa vizuri.umri 19-23,awe mkristo kamili mwenye maadiri mema 0718601714
ndio maana unataka mwalimu?
 
Back
Top Bottom