Mke wa Lazaro Nyalandu afunguka ya moyoni

Wakati unasifiwa na Nyalandu kila kona ulikuwa unafurahia, sasa ujipange kutafuta mme mwingine ambaye ni Waziri
 
Makubwa kisa unamfahamu wewe unataka lazimisha na wengine wamfahamu aache kiki,aendelee maisha yake bila kutaka front pages na sympathy
Huyu wala haitaji kiki,since way back ni mmoja ni kati ya platinums super stars unaowajua wewe,labda kama umekuja mjini juzi na gari ya ndizi.
 
Mpaka hivi Leo bado ni Faraja Kotta, why not Faraja Nyalandu so Miss Faraja Kotta or Mrs Nyalandu?.
 
Sasa hofu ya nn?waamin kile wanacho kiamin ndani yake kuna Mungu basi wamwamin huyo
 
Ila naye kaolewa.
 
Je kama Nyalandu leo anaonekana ni mwizi au fisadi licha ya kuwa hakuna vithibitisho ,vipi akina ngereja,Chenge,akina Muhongo si wako ccm wameishafukuzwa au kuchukuliwa hatua yoyote,?
Nyalandu anajulikana ni fisadi
 
Nyalandu bana amemzlisha huyu binti haraka haraka sijui alijua atamtosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…