Uchaguzi 2020 Mke wa Lissu anaona mbali sana, mwezi sasa ameona ajiweke mbali na kampeni

Uchaguzi 2020 Mke wa Lissu anaona mbali sana, mwezi sasa ameona ajiweke mbali na kampeni

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Baada ya ufunguzi wa kampeni kwenye majukwaa mawili matatu mke wa Tundu Antipas Lissu alionekana kwenye majukwaa akilia kwa uchungu kuhusu madhira aliyotendewa mmewe. Lakini ghafla CCM walipofungua kampeni mama aliona mbali sana na kuwaona Chadema hawana chao tena, aliona ufirstlady umeota mbawa.

Mke mpendwa wa Lissu ameona badala ya kupoteza muda kwenye kampeni ambazo ni wazi kabisa CCM wanashinda bora atumie muda huo kushugulikia elimu ya watoto wake mapacha na gari alilokuwa akitumia kupewa Sheikh Ponda.

Hongera mama kwa kuona mbali na kuokoa nguvu na muda.
 
Baada ya ufunguzi wa kampeni kwenye majukwaa mawili matatu mke wa Tundu Antipas Lissu alionekana kwenye majukwaa akilia kwa uchungu kuhusu madhira aliyotendewa mmewe. Lakini ghafla CCM walipofungua kampeni mama aliona mbali sana na kuwaona Chadema hawana chao tena, aliona ufirstlady umeota mbawa.

Mke mpendwa wa Lissu ameona badala ya kupoteza muda kwenye kampeni ambazo ni wazi kabisa CCM wanashinda bora atumie muda huo kushugulikia elimu ya watoto wake mapacha na gari alilokuwa akitumia kupewa Sheikh Ponda.

Hongera mama kwa kuona mbali na kuokoa nguvu na muda.
Huyo ameona mume wake ana matatizo mengi
Hataki kupeleka laana ya usaliti kwa watoto
Huyu mama anasitahili kupewa tuzo ya UVUMILIVU Duniani. Kumudu kuishi na shetani miaka yote hiyo.
Mataga kwa ubora wenu . Hata kusali hamuendi ?!. Hivi na nyie mmesoma shule hizi hizi wanazosoma watoto wetu ?!. Mbona wote kama hamna akili ?! Au mzazi wenu ni moja ?
 
Baada ya ufunguzi wa kampeni kwenye majukwaa mawili matatu mke wa Tundu Antipas Lissu alionekana kwenye majukwaa akilia kwa uchungu kuhusu madhira aliyotendewa mmewe. Lakini ghafla CCM walipofungua kampeni mama aliona mbali sana na kuwaona Chadema hawana chao tena, aliona ufirstlady umeota mbawa.

Mke mpendwa wa Lissu ameona badala ya kupoteza muda kwenye kampeni ambazo ni wazi kabisa CCM wanashinda bora atumie muda huo kushugulikia elimu ya watoto wake mapacha na gari alilokuwa akitumia kupewa Sheikh Ponda.

Hongera mama kwa kuona mbali na kuokoa nguvu na muda.
Yaani umekaa ukafikiria, katika mambo yote ya kuongelea ukachagua kuongelea mambo ya wake za watu!!
 
Baada ya ufunguzi wa kampeni kwenye majukwaa mawili matatu mke wa Tundu Antipas Lissu alionekana kwenye majukwaa akilia kwa uchungu kuhusu madhira aliyotendewa mmewe. Lakini ghafla CCM walipofungua kampeni mama aliona mbali sana na kuwaona Chadema hawana chao tena, aliona ufirstlady umeota mbawa.

Mke mpendwa wa Lissu ameona badala ya kupoteza muda kwenye kampeni ambazo ni wazi kabisa CCM wanashinda bora atumie muda huo kushugulikia elimu ya watoto wake mapacha na gari alilokuwa akitumia kupewa Sheikh Ponda.

Hongera mama kwa kuona mbali na kuokoa nguvu na muda.
Atulie tuu hiyo ni hekima. Mume anaweza pewa ubalozi pale ubelgiji
 
Baada ya ufunguzi wa kampeni kwenye majukwaa mawili matatu mke wa Tundu Antipas Lissu alionekana kwenye majukwaa akilia kwa uchungu kuhusu madhira aliyotendewa mmewe. Lakini ghafla CCM walipofungua kampeni mama aliona mbali sana na kuwaona Chadema hawana chao tena, aliona ufirstlady umeota mbawa.

Mke mpendwa wa Lissu ameona badala ya kupoteza muda kwenye kampeni ambazo ni wazi kabisa CCM wanashinda bora atumie muda huo kushugulikia elimu ya watoto wake mapacha na gari alilokuwa akitumia kupewa Sheikh Ponda.

Hongera mama kwa kuona mbali na kuokoa nguvu na muda.
WANAWAKE NAO WAWEWANAMSHIRIKISHA MUNGU AWAPE MUME MWEMA.
 
Baada ya ufunguzi wa kampeni kwenye majukwaa mawili matatu mke wa Tundu Antipas Lissu alionekana kwenye majukwaa akilia kwa uchungu kuhusu madhira aliyotendewa mmewe. Lakini ghafla CCM walipofungua kampeni mama aliona mbali sana na kuwaona Chadema hawana chao tena, aliona ufirstlady umeota mbawa.

Mke mpendwa wa Lissu ameona badala ya kupoteza muda kwenye kampeni ambazo ni wazi kabisa CCM wanashinda bora atumie muda huo kushugulikia elimu ya watoto wake mapacha na gari alilokuwa akitumia kupewa Sheikh Ponda.

Hongera mama kwa kuona mbali na kuokoa nguvu na muda.
Na wewe mumeo yuko kundi gani au bado una danga?
 
Baada ya ufunguzi wa kampeni kwenye majukwaa mawili matatu mke wa Tundu Antipas Lissu alionekana kwenye majukwaa akilia kwa uchungu kuhusu madhira aliyotendewa mmewe. Lakini ghafla CCM walipofungua kampeni mama aliona mbali sana na kuwaona Chadema hawana chao tena, aliona ufirstlady umeota mbawa.

Mke mpendwa wa Lissu ameona badala ya kupoteza muda kwenye kampeni ambazo ni wazi kabisa CCM wanashinda bora atumie muda huo kushugulikia elimu ya watoto wake mapacha na gari alilokuwa akitumia kupewa Sheikh Ponda.

Hongera mama kwa kuona mbali na kuokoa nguvu na muda.
 
We ni mpuuzi tu tangu lini umeona mke wa mgombea anazunguka nae mikutano yote.
Kaolewe na meko basi uzunguke nae
Baada ya ufunguzi wa kampeni kwenye majukwaa mawili matatu mke wa Tundu Antipas Lissu alionekana kwenye majukwaa akilia kwa uchungu kuhusu madhira aliyotendewa mmewe. Lakini ghafla CCM walipofungua kampeni mama aliona mbali sana na kuwaona Chadema hawana chao tena, aliona ufirstlady umeota mbawa.

Mke mpendwa wa Lissu ameona badala ya kupoteza muda kwenye kampeni ambazo ni wazi kabisa CCM wanashinda bora atumie muda huo kushugulikia elimu ya watoto wake mapacha na gari alilokuwa akitumia kupewa Sheikh Ponda.

Hongera mama kwa kuona mbali na kuokoa nguvu na muda.
 
Baada ya ufunguzi wa kampeni kwenye majukwaa mawili matatu mke wa Tundu Antipas Lissu alionekana kwenye majukwaa akilia kwa uchungu kuhusu madhira aliyotendewa mmewe. Lakini ghafla CCM walipofungua kampeni mama aliona mbali sana na kuwaona Chadema hawana chao tena, aliona ufirstlady umeota mbawa.

Mke mpendwa wa Lissu ameona badala ya kupoteza muda kwenye kampeni ambazo ni wazi kabisa CCM wanashinda bora atumie muda huo kushugulikia elimu ya watoto wake mapacha na gari alilokuwa akitumia kupewa Sheikh Ponda.

Hongera mama kwa kuona mbali na kuokoa nguvu na muda.
Acha uongo ,mke wa Lissu alikuepo chato pamoja na mume wake
 
Baada ya ufunguzi wa kampeni kwenye majukwaa mawili matatu mke wa Tundu Antipas Lissu alionekana kwenye majukwaa akilia kwa uchungu kuhusu madhira aliyotendewa mmewe. Lakini ghafla CCM walipofungua kampeni mama aliona mbali sana na kuwaona Chadema hawana chao tena, aliona ufirstlady umeota mbawa.

Mke mpendwa wa Lissu ameona badala ya kupoteza muda kwenye kampeni ambazo ni wazi kabisa CCM wanashinda bora atumie muda huo kushugulikia elimu ya watoto wake mapacha na gari alilokuwa akitumia kupewa Sheikh Ponda.

Hongera mama kwa kuona mbali na kuokoa nguvu na muda.
Ahahahah
Baada ya ufunguzi wa kampeni kwenye majukwaa mawili matatu mke wa Tundu Antipas Lissu alionekana kwenye majukwaa akilia kwa uchungu kuhusu madhira aliyotendewa mmewe. Lakini ghafla CCM walipofungua kampeni mama aliona mbali sana na kuwaona Chadema hawana chao tena, aliona ufirstlady umeota mbawa.

Mke mpendwa wa Lissu ameona badala ya kupoteza muda kwenye kampeni ambazo ni wazi kabisa CCM wanashinda bora atumie muda huo kushugulikia elimu ya watoto wake mapacha na gari alilokuwa akitumia kupewa Sheikh Ponda.

Hongera mama kwa kuona mbali na kuokoa nguvu na muda.
Ahahah
 
Baada ya ufunguzi wa kampeni kwenye majukwaa mawili matatu mke wa Tundu Antipas Lissu alionekana kwenye majukwaa akilia kwa uchungu kuhusu madhira aliyotendewa mmewe. Lakini ghafla CCM walipofungua kampeni mama aliona mbali sana na kuwaona Chadema hawana chao tena, aliona ufirstlady umeota mbawa.

Mke mpendwa wa Lissu ameona badala ya kupoteza muda kwenye kampeni ambazo ni wazi kabisa CCM wanashinda bora atumie muda huo kushugulikia elimu ya watoto wake mapacha na gari alilokuwa akitumia kupewa Sheikh Ponda.

Hongera mama kwa kuona mbali na kuokoa nguvu na muda.

Mke wa Lipumba umewahi kumuona?
 

Attachments

  • 2020-10-25 09.17.05.png
    2020-10-25 09.17.05.png
    575.2 KB · Views: 2
Back
Top Bottom