Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 866
Inapendeza wanawake wanaanza kujitokeza zaidi, na cha kufurahisha hawasubiri viti vya 'upendeleo'.
Ataweza kupambana na Bujiku Sakila? Naelewa kuwa naye ana upinzani ndani ya CCM kutoka kwa mtanzania mwenye asili ya kihindi Shanif Hirani (ambaye inaelekea ni tishio kwake)
Sakila hagombei tena amejikatia tamaa!
Leo nilikuwa nazumgumza na Mama Leticia akaniambia kuwa yeye anatamani sana huyo mhindi apite ndio atakuwa mwepesi zaidi kwake, anadai kama angeweza kufanya kampeni ili apitishwe ndani ya chama chao angefanya hivyo.. Inasemekana huyo mhindi anamougopa Leticia..Lets wait and see!
By the way mmeniudhi kuniletea sredi yangu huku ingawa ni ndio mahali pake. Watu hawaji huku hivyo ujumbe haufiki kwa wengi..Watu bado hatujalizoea jukwaa hili labda kwa kuwa wakati wake rasmi bado!
GS,
Mwambie huyo mama asijiamini sana, hao Wahindi wana njia nyingi sana za kuwarubuni wananchi. Unajua wananchi wamekata tamaa, hivyo yeyote anayeweza kuwajaza mifuko yao wanampa kura.
Sakila hagombei tena amejikatia tamaa!
Leo nilikuwa nazumgumza na Mama Leticia akaniambia kuwa yeye anatamani sana huyo mhindi apite ndio atakuwa mwepesi zaidi kwake, anadai kama angeweza kufanya kampeni ili apitishwe ndani ya chama chao angefanya hivyo.. Inasemekana huyo mhindi anamougopa Leticia..Lets wait and see!
By the way mmeniudhi kuniletea sredi yangu huku ingawa ni ndio mahali pake. Watu hawaji huku hivyo ujumbe haufiki kwa wengi..Watu bado hatujalizoea jukwaa hili labda kwa kuwa wakati wake rasmi bado!
Kwa hiyo ndiyo kusema huyo Leticia anapenda miteremko siyo? Ataweza kazi kwa style hii ya kupenda vyepesi vyepesi? Hajiamini nini?
Kwa hiyo ndiyo kusema huyo Leticia anapenda miteremko siyo? Ataweza kazi kwa style hii ya kupenda vyepesi vyepesi? Hajiamini nini?
Huyu Mama anajiamini sana na si wakukurupuka,kwa hivyo alivyosema ni just a portion ya kile kilichonyuma ambacho wakati wa kampeni CCM hawatamsahau. Makamba aka Baba ule mwezi wa kwanza, anatamani huyu mama agombee kupitia chama kilichasisiwa na baba mkwe wake.
Bravo Leticia!!
Sasa kama anajiamini mbona anakuwa anasema anataka sana fulani apite kuwa mpinzani wake? Hii si alama ya mtu anayejiamini, hii ni alama ya mtu mwenye mashaka na uwezo wake na anayetaka mpinzani wake awe kibonde fulani.
Mtu anayejiamini na anayefikiri ana uwezo atakwambia "mleteni yeyote mimi niko tayari".Nikisoma hii thread naona huyu mama ana favorites na wala hajiamini hivyo.
By the way huyu mama akiweza kuchukua ubunge CHADEMA hii familia itakuwa imeweka rekodi CCM, Babu Nyerere ndiyo hivyo tena kutoa TANU mpaka CCM, Babu Mwingine Mageni (Upande wa Leticia) alikuwa Mwenyekiti wa CUF, Makongoro Charles alikuwa mbunge wa NCCR Arusha Mjini, Rosemary alikuwa (bado ni?) mbunge wa CCM, Na sasa Leticia anataka kugombea CHADEMA.
Wametapakaa vyama vikubwa vyote kama sisimizi.
Leticia go my sister this is your time , son of alaska acha cheap characterization of people, as we focus on bringing about positive change in our country we do not have time for cheap staff, let us look at leticia and support her on the basis of her strenghts we should thrive for positive vibes na kwa hili humu ndani patakua hapatoshi kama watu watadekeza mambo ya 'udaku' hayana nafasi hapa. Tumpe leticia hekima kama walizoanza kutoa wengine humu what should she be working on to rip success kwa sababu unlike mr alasta, yeye ameweka anachosema kwenye action
Bado hujanipata tu?
Labda ukijibu swali tunaweza kupatana.