Sakila hagombei tena amejikatia tamaa!
Leo nilikuwa nazumgumza na Mama Leticia akaniambia kuwa yeye anatamani sana huyo mhindi apite ndio atakuwa mwepesi zaidi kwake, anadai kama angeweza kufanya kampeni ili apitishwe ndani ya chama chao angefanya hivyo.. Inasemekana huyo mhindi anamougopa Leticia..Lets wait and see!
By the way mmeniudhi kuniletea sredi yangu huku ingawa ni ndio mahali pake. Watu hawaji huku hivyo ujumbe haufiki kwa wengi..Watu bado hatujalizoea jukwaa hili labda kwa kuwa wakati wake rasmi bado!
Na hiyo ndiyo Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya ya kweli.....huu sio wakati wa kutanguliza hofu ya fedha za mtu...ni wakati wa kusimama na kutetea unachoamini.
bravo mama letisia nakutakia mafanikio mema katika uchaguzi huu....usiende kwa waganga mwamini MUNGU atakufanikisha ( ni ushauri tu)
Mix with yours