Mke wa mgombea wa CHADEMA Manyoni : Nilimwambia Polisi naomba usimuue mume wangu lakini alimpiga risasi nne

Mke wa mgombea wa CHADEMA Manyoni : Nilimwambia Polisi naomba usimuue mume wangu lakini alimpiga risasi nne

Mkuu chukua maua yako kwa kuweka kila kitu clear. Vijana wanadanganywa Sana na mbowe ambaye familia yake haina njaa na watoto wake wanasoma kwenye shule za hadhi.

..lakini Ccm kama wanajisikia kutuua basi watumie watoto wa viongozi kama Abduli, au Wanu, na sio kutumia watoto wa masikini kama Mafwele na genge lake. Vijana wa Ccm wanamwaga damu za vijana wenzao halafu madaraka wanapata kina Husseni, Wanu, Ridhiwani, na watoto wengine wa vigogo.
 
Anayeshika bunduki simjui ila ninachojua ni kwamba huyo mtekaji atawateka vijana wengi na mbowe anayewafanya hao vijana kutekwa atabaki na famili yake.

..kwanini Mafwele na genge la vijana masikini ndio watumike kuteka na kuuwa, wakati wakina watoto wa vigogo kama Abduli, Wanu, Husseni, Riziwani, wanakula raha kwenye madaraka?
 
..lakini Ccm kama wanajisikia kutuua basi watumie watoto wa viongozi kama Abduli, au Wanu, na sio kutumia watoto wa masikini kama Mafwele na genge lake. Vijana wa Ccm wanamwaga damu za vijana wenzao halafu madaraka wanapata kina Husseni, Wanu, Ridhiwani, na watoto wengine wa vigogo.
Viongozi wote wa hapa nchini wanawachezea Sana watu masikini kwa kuwatumia katika shughuli haramu. Hata akina mbowe wanatumia watoto wa masikini ilihali watoto waonwanasoma shule nzuri, haya yote yanasababishwa na njaa
 
Viongozi wote wa hapa nchini wanawachezea Sana watu masikini kwa kuwatumia katika shughuli haramu. Hata akina mbowe wanatumia watoto wa masikini ilihali watoto waonwanasoma shule nzuri, haya yote yanasababishwa na njaa

..Ccm waache kumtumia Mafwele, watumike watoto wa viongozi Abduli, Wanu, Husseni, Riziwani, kuteka, kutesa, na kuua.
 
Hapo umenena. Halafu Kuwe na viongozi wa upinzani wenye msimamo thabiti siyo hawa wanaowasihi wananchi waandamane ilihali wao wamejibanza.
Viongozi wawe na misimamo au wasiwe nayo ni juu yao,i dnt care!Hapa ninachojali mimi ni uhai wa binadamu mwenzangu!Ni nani huyo anayejiona ana haki na pumzi ya mtu mwingine?Shame
 
Wakuu,

Nimekutana na video ya mke wa Mgombea kupitia Chadema wa Kitongoji cha Stand, kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni Mashariki George Juma Mohamed akielezea namna ambavyo polisi walimkamata na kumuua mume wake kwa kumpiga risasi nne.

Mama huyu anasema kuwa aliwaomba polisi wasimuue mumewe lakini polisi walimpiga mume wake risasi nne na hivyo mume wake alifariki dunia

Pia alisema kuwa mwanae aliona jinsi baba yake alivyouwawa kikatili na polisi.

Soma pia: Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024

=========================================

Naomba niishie hapa. Nisije nikaandika zaidi nikaharibu.

Ila haya mambo yote huwa yana mwisho na mwisho wake huwa sio mzuri

View attachment 3166595
Sasa haya ni maisha gani kama watanzania.
 
Kule Marekani Trump alipopigwa risasi, Mkuu wa kitengo cha usalama wa siri alijiuzulu, nilitegemea na Kamishna Generali wa Jeshi la Magereza awe tayali amemuandikia barua Rais wetu kuomba kujiuzuru
Siyo Tu kamishna, waziri mwenye dhana angekaa pembeni
Sisi HAPA na ccem yetu hii thubutu!!!
 
Hiyo inaitwa intimidation policy. Kwa hiyo kinachofanyika kuua ni makusudi ili kuwatisha watu kusema msikosoe kwa sababu utauliwa halafu unaempigania ataingia ikulu na kuacha familia yako! So wanauliwa kwa makusudi?
 
Back
Top Bottom