Mke wa mshikaji wangu aniduwaza!


Aliwazalo/atamanilo mtu ndani ya dhamiri yake ndilo liwalo..... Ikimbie zinaa mkuu.
 

REALLY! I aint twistin shit! Kasema kaitiwa MZIGO!!!!!!! Sasa we huo MZIGO umejuaje ni Chekanao au Kabang kama sio ushabuki maandazi? Could be either or even both!

Hayo ya Baba na Mama nawaachua wenyewe!!!!!!!!!!
 
Nilishapata mtihani kama huo halafu mtoto mwenyewe mzuri huyo..Almanusra lakini nilimshinda shetani.
Bahati nzuri walirudi vizuri na jamaa....Siku za mwanzo ananitizama kwa aibu tukikutana.
 



Inavyonesha huyo shemejio ama anataka kulipa kisasi au ni mwanamke ambaye hajazoea mambo ya kujichanganya hivyo anatumia methali isemayo "fimbo iliyopo karibu ndiyo inayoua nyoka". Ushauri ni kwamba; moja, tumia busara kukataa kabisa ombi lake kwa sababu sio ubinadamu, ungwana au ustaarabu. Pili mshauri kwamba achane na mawazo ya kisasi, ajaribu 'kum-ignore' huyo mumewe, badala yake ajipendezeshe kwa kuvaa vizuri na kufanya mazoezi mepesi mepesi bila kuonyesha kwamba anaumizwa na tabia zake. Mwisho wa siku huyo mumewe ataona wivu tu na kujirudi. Mwisho kama anaongea sana apunguze maneno maana wanaume wengi hawapendi maneno mengi ya kulaumu laumu bila sababu za msingi.
 
Zingatia ushauri wa wengi, vinginevyo anza kuvaa chupi ya mbao. Akijua basi nya yako halali yake.
 
moto uliwasha mwenyewe kujifanya mshauri nasaha, kwani wewe ulikuwa best man, hata kama hukutakiwa kuwa karibu na huyo shemeji nataka!!! Muepuke mara moja na umueleze , utamueleza mume wake juu ya tabia yake mbaya.Kama mumewe ana makosa atafute baraza muafaka kutatua gogoro hilo, siyo akutumie wewe kama spare tire ya ngono, wakati anazalisha gogoro jingine kwa pepo ngono wake. Kimbia haraka, dawa ya zinaa ni kuikimbia.
 
Pole mkuu wamogori, ikimbimbie zinaa, na hapo tena pabaya zaidi mke wa rafiki yako, no no no no,,,,,,.............no, no.......

Ukiweza vunja mahusiano/urafiki/mazoea na wote yaani mke na mme wote piga chini, fanya mambo yako.
 
Last edited by a moderator:
Natamani ningekuwa karibu yako nione hizo message za malove zinavyo fululizana.

Hadi sasa anaendelea kunibembeleza na kunipa mbinu nyingi za kutimiza lengo lake bila kujulikana na watu.

Ningepata angalau mbinu 3 zingenisaidia katika shunguli zangu.
 
Nimeduwazwa na jibu lako. Kuna wakati unakuwa kama binadamu lol. Naanza kukufukuzia rasmi.
vizuri kama hutami kumsaliti jamaa...wee panga kuongea nae face to face na make r stand clear in no uncertain terms kuwa hilo haliwezekani....nothing gud has ever come out of affairs.
 
Mbinu za kuvunja ndoa yangu na Paw? Hiyo sijui kama utafanikiwa labda kwenye ulimwengu ujao.
Natamani ningekuwa karibu yako nione hizo message za malove zinavyo fululizana.



Ningepata angalau mbinu 3 zingenisaidia katika shunguli zangu.
 

kaka mchape nao tena umle tigo ndipo atakapokuheshimu after all hata wewe ukioa mkeo ataliwa tu bora uanze kuwala mapema
 
vizuri kama hutami kumsaliti jamaa...wee panga kuongea nae face to face na make r stand clear in no uncertain terms kuwa hilo haliwezekani....nothing gud has ever come out of affairs.

Aah..Mzabzab upo juu..kwa kweli kumsaliti rafikie c jambo jema huwezi kujenga uadui na rafiki yako wa karibu kisa KUGEGEDA....
Ahahaaaaaa.....
 
kaka mchape nao tena umle tigo ndipo atakapokuheshimu after all hata wewe ukioa mkeo ataliwa tu bora uanze kuwala mapema

We nae walivokuondoa hiyo kitu ya kutokutoa shahawa basi hiyo fimboyaasali yako imekua taa kila sehemu yataka kumulika......acha kumshauri mwenzio vitu sio!!!!!
 
Haya ndio maradhi ya wanawake wengi, wakishakuwa lonely and alone ukawapa sehemu ya kulalamikia,mwisho wa siku atakutaka au kukupenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…