Mke wa mshikaji wangu aniduwaza!

Mke wa mshikaji wangu aniduwaza!

Ushauri wangu??? Yes, uko hapa chini, soma na tafakari ujumbe ulioko ktika bango hili hapa chini:

The Tuko Wangapi Tulizana Campaign Banner_0.jpg
 
Jana nimeduwazwa sana baada ya mke wa rafiki yangu kunitamkia wazi kuwa ananipenda na anataka kutoka na mimi.
Tangu nifahamiane naye miaka takribani mitano sasa tumekuwa tukiheshimiana naye sana kama mashemeji. mwaka huu akaniambia kuwa mumewe ameanza kubadilika kwa kuzidisha ulevi, kuchelewa kurudi nyumbani na wakati mwingine kulala nje na pia alizifuma meseji za mapenzi kwenye simu ya mumewe kutoka kwa mtu aliyemsave kwa jina la kiume, hivyo nimsaidie kumshauri ili abadilke ila akanionya nisimwambie kama ni yeye ndiye kaniambia.

Nilimtia moyo kuhusu hali hiyo na kumwomba awe mvumilivu na asichoke kuongea na mumewe kuhusu hali hiyo ili abadilike. Binafsi nilipata wakati mgumu wa namna gani nitamshauri jamaa bila kumtajia makosa yake na wapi nimeyapata hivyo nikashindwa hiyo kazi.

Mke wa jamaa akaanza kunipigia simu usiku kulalamika kila mumewe anapochelewa kurudi na wakati mwingine akinipigia alfajiri kuniambia kuwa mumewe hajarudi hadi muda huo. Niliendelea kumtia moyo ingawa mambo hayo yalikuwa ni ya kweli.

Cha ajabu kuanzia wiki jana amekuwa akinitumia meseji za mapenzi, nikajua ni hizi meseji ambazo watu hutumiana hivyo sikujali sana hadi pale aliponiandikia akiniambia kuwa yuko serious anataka kutoka na mimi. Sikuamini nikampigia simu kusikia sauti yake kama ni yeye kweli, ndipo aliponithibitishia kuwa yuko serious na atatunza siri na kunitunzia heshima yangu kwa jamaa kwani tayari moyo wake umeangukia kwangu.

Sikuweza kumjibu kitu kwa namna nilivyopatwa na mshangao. hadi sasa anaendelea kunibembeleza na kunipa mbinu nyingi za kutimiza lengo lake bila kujulikana na watu.

Binafsi sina lengo la kumsaliti mshikaji wangu ila nimelileta kwenu ili mnishauri nimjibu vipi huyu mwanamke ili heshima yangu kwa familia hii iendelee kuwapo na pia kusitokee chuki yoyote kutokana na kadhia hii itakayopelekea urafiki wangu na familia hii kuyumba au kupotea.

Mke wa mtu ni sumu bro, epuka kabisa!!! Mwambie outright no!, Hakuna siri ya wau 2, itavuja 2 siku 1. Wewe umeoa?
 
Unahitaji jinsi ya kumjibu huyo shemejiyo ilhali ucvunjahusiano baina yako na hiyo familia. Kiuhalisia nadhani jibu sahihi ni lile lenye kupnesha msimamo. Mwambie huyo shemejiyo hautoweza kufanya kitu kama hiyo na kama ni bifu basi iwe bifu. Huyu mama hapo alipo ana mawazo mengi ya kumfanya mmewe atulie hata kama ni kwa kuhatarisha ndoa yake.

Pili tambua kabisa kama dhamira yake imenuia lazima atoke na yeye hauwezi kunusuru urafiki wenu iwe kwa kutoka nae ama kwa kuto kutoka nae.

Ni bora ukavunja urafiki lakini ukabaka salama kiafya, kijamii na kisaikolojia pia.
 
Kazi kwako kama urafiki wenu ni wa mashaka kale mzigo lakini kumbuka kuna ukimwi
 
wewe umeoa? au una mpenzi?... jibu hayo kwanza then tuendelee....
 
Kaa naye mbali huyo mwanamke,jiulize ni kwa nini upendo wake uwe wa ghafla sana hususani kipindi hiki ambacho amekuja kujua kuwa mumewe anatoka nje ndo aanze kukupenda? Ni mwongo na mtaka kulipa kisasi tu ili ikiwezekana amuumize roho mumewe na ikibidi kuwagombanisha na mshkaji tu. Stay away from her,hana lolote jema na la maana litakalokufaa!!
 
Nimeduwazwa na jibu lako. Kuna wakati unakuwa kama binadamu lol. Naanza kukufukuzia rasmi.

hahaha usiduwae bwana...mie ndio mwenye kwa ushauri wa kweli...yaani nakupa ukweli wa mambo. mzima lakini maana umenitosa
 
Aah..Mzabzab upo juu..kwa kweli kumsaliti rafikie c jambo jema huwezi kujenga uadui na rafiki yako wa karibu kisa KUGEGEDA....
Ahahaaaaaa.....

hahaha asante...kugegeda lazima kuwe na mipaka bwana
 
Jana nimeduwazwa sana baada ya mke wa rafiki yangu kunitamkia wazi kuwa ananipenda na anataka kutoka na mimi.
Tangu nifahamiane naye miaka takribani mitano sasa tumekuwa tukiheshimiana naye sana kama mashemeji. mwaka huu akaniambia kuwa mumewe ameanza kubadilika kwa kuzidisha ulevi, kuchelewa kurudi nyumbani na wakati mwingine kulala nje na pia alizifuma meseji za mapenzi kwenye simu ya mumewe kutoka kwa mtu aliyemsave kwa jina la kiume, hivyo nimsaidie kumshauri ili abadilke ila akanionya nisimwambie kama ni yeye ndiye kaniambia.

Nilimtia moyo kuhusu hali hiyo na kumwomba awe mvumilivu na asichoke kuongea na mumewe kuhusu hali hiyo ili abadilike. Binafsi nilipata wakati mgumu wa namna gani nitamshauri jamaa bila kumtajia makosa yake na wapi nimeyapata hivyo nikashindwa hiyo kazi.

Mke wa jamaa akaanza kunipigia simu usiku kulalamika kila mumewe anapochelewa kurudi na wakati mwingine akinipigia alfajiri kuniambia kuwa mumewe hajarudi hadi muda huo. Niliendelea kumtia moyo ingawa mambo hayo yalikuwa ni ya kweli.

Cha ajabu kuanzia wiki jana amekuwa akinitumia meseji za mapenzi, nikajua ni hizi meseji ambazo watu hutumiana hivyo sikujali sana hadi pale aliponiandikia akiniambia kuwa yuko serious anataka kutoka na mimi. Sikuamini nikampigia simu kusikia sauti yake kama ni yeye kweli, ndipo aliponithibitishia kuwa yuko serious na atatunza siri na kunitunzia heshima yangu kwa jamaa kwani tayari moyo wake umeangukia kwangu.

Sikuweza kumjibu kitu kwa namna nilivyopatwa na mshangao. hadi sasa anaendelea kunibembeleza na kunipa mbinu nyingi za kutimiza lengo lake bila kujulikana na watu.

Binafsi sina lengo la kumsaliti mshikaji wangu ila nimelileta kwenu ili mnishauri nimjibu vipi huyu mwanamke ili heshima yangu kwa familia hii iendelee kuwapo na pia kusitokee chuki yoyote kutokana na kadhia hii itakayopelekea urafiki wangu na familia hii kuyumba au kupotea.


Kula mzigo huo tonge mdomoni,,,sema chonde chonde usijenge KIBANDA maana utanogewa!
 
Ndio mimi pia nimeoa.

Kama umeoa ni vizuri. Mweleze huyo shemeji yako kuwa wewe hutaki kuiingiza ndoa yako kwenye matatizo, kwa sababu mkeo akija kugundua, itakuwa balaa. Mkeo akija kugundua hiyo 'infidelity', ndoa yako inaweza kuvunjika, kwa hiyo ni heri wewe ubaki na ndoa yako salama usalimin!!! Mwambie atafute ndugu zake mumewe wamweke chini wamshauri ajirekebishe na apunguze au aache masanga kabisa
 
Kikulacho ki nguoni mwako!!!!!!!!!! Wewe una Mke au ndo senior bachelor?

Dawa yake moja tu huyo muignore usimpigie, usipokee simu yake wala kujibu text zake.

Hizi ndoa za siku hizi MAJANGA! Nikisema either way LIFE FU.CKS YOU!!!!!!! Naonekana mbaya! Ona sasa jamaa aliona kuoa ni suluhisho kumbe my wife anatembezea washkaji zake Kabang bila haya!!!!!!!!!!! Chinekeeeeeeeeeee! Heeeeeey!

Ila mwanamke kuna vitu vimemsukuma kutaka kuchepuka maana wakati mwingine wanaume hudhani ukishamuoa mwanamke basi ndio umekamilisha zoezi kwamba unakuja muda wowote unaotaka na ukifika unasalimia na kula msosi na kuoga kwenda kulala na kuomba mzigo unagegeda basi, no other stories na siku nyingine ndio hizo unalala small house. Swali la kujiuliza huyu mwanamke alikwenda kwa mwanaume kulala mwenyewe? kama ni hivyo si bora wangebaki kama boy friend and gf ili wawe wanakutana kwa vipindi maalumu
 
Jana nimeduwazwa sana baada ya mke wa rafiki yangu kunitamkia wazi kuwa ananipenda na anataka kutoka na mimi.
Tangu nifahamiane naye miaka takribani mitano sasa tumekuwa tukiheshimiana naye sana kama mashemeji. mwaka huu akaniambia kuwa mumewe ameanza kubadilika kwa kuzidisha ulevi, kuchelewa kurudi nyumbani na wakati mwingine kulala nje na pia alizifuma meseji za mapenzi kwenye simu ya mumewe kutoka kwa mtu aliyemsave kwa jina la kiume, hivyo nimsaidie kumshauri ili abadilke ila akanionya nisimwambie kama ni yeye ndiye kaniambia.

Nilimtia moyo kuhusu hali hiyo na kumwomba awe mvumilivu na asichoke kuongea na mumewe kuhusu hali hiyo ili abadilike. Binafsi nilipata wakati mgumu wa namna gani nitamshauri jamaa bila kumtajia makosa yake na wapi nimeyapata hivyo nikashindwa hiyo kazi.

Mke wa jamaa akaanza kunipigia simu usiku kulalamika kila mumewe anapochelewa kurudi na wakati mwingine akinipigia alfajiri kuniambia kuwa mumewe hajarudi hadi muda huo. Niliendelea kumtia moyo ingawa mambo hayo yalikuwa ni ya kweli.

Cha ajabu kuanzia wiki jana amekuwa akinitumia meseji za mapenzi, nikajua ni hizi meseji ambazo watu hutumiana hivyo sikujali sana hadi pale aliponiandikia akiniambia kuwa yuko serious anataka kutoka na mimi. Sikuamini nikampigia simu kusikia sauti yake kama ni yeye kweli, ndipo aliponithibitishia kuwa yuko serious na atatunza siri na kunitunzia heshima yangu kwa jamaa kwani tayari moyo wake umeangukia kwangu.

Sikuweza kumjibu kitu kwa namna nilivyopatwa na mshangao. hadi sasa anaendelea kunibembeleza na kunipa mbinu nyingi za kutimiza lengo lake bila kujulikana na watu.

Binafsi sina lengo la kumsaliti mshikaji wangu ila nimelileta kwenu ili mnishauri nimjibu vipi huyu mwanamke ili heshima yangu kwa familia hii iendelee kuwapo na pia kusitokee chuki yoyote kutokana na kadhia hii itakayopelekea urafiki wangu na familia hii kuyumba au kupotea.
Wengi wameangalia tu upande wa mwanamke kama tatizo, lakini ukweli ni kwamba huyo mwanamke anakupenda si kwamba wewe ni special sana bali amekuja kukugundua kwamba una vitu unavyo huenda kwa jinsi anavyokuona labda unavyoishi na familia yako labda na yeye anatamani na yeye mume wake awe kama wewe na mwisho wa siku anataka kutoka na wewe, I believe kama ndoa yake ingekuwa ipo strong haya mawazo ya kukutokea yasingekuwepo.

Epukana nae huyo mwanamke kama suruhisho la kwanza lakini la muhimu ni kuangalia namna ya kumshauri mumewe bila kujua kwamba mkewe amekuomba umshauri kuhusu hizo tabia zake, kama ni rafiki yako huyo jamaa ni rahisi kujua kona zake zingine ambazo anachepuka kugegeda small house
 
Ogopeni sana kuwa washauri wa karibu wa wake za rafiki zenu...kwani wanawake hao mwisho wa siku watataka kupata faraja ya mapenzi kutoka kwenu! Mazingira hayo huwa ni breeding ground ya mapenzi yenye usaliti wa ndoa!
 
He he he, huoni anaturingishia how handsome he is hadi mke wa rafikiye kampenda?

He needs to grow up bana

..dahh.. kongoshooo..!!?? no mercy at alll..! I cant you..!
 
Back
Top Bottom