Mke wa mtu ameniota

Mke wa mtu ameniota

Ila swali linaloniumiza kichwa ni inakuaje mwanamke amuote mwanaume ambaye si mume wake wakati yupo kitandani na mumewe?? Na inawezekana kuwa hata wake zetu nao wanawaota wanaume wengine wakati wapo na sisi??
Inawezekana.....physiology of dream haichagui mtu aote kipi na asiote kipi..lkn pia huenda sio kweli kwamba anakuota,saiv vyuma vimekaza so huenda yy na mume wanapanga namna ya kuingiza pato kupitia fumaniz....tafuta waschana ila wake za watu achana nao kabisa
 
Anza kwenda tena dukani kwake ila kama akianza story zake za ndoto basi usirudi tena.
 
mtu yeyote hawez kuota kitu kama hakiwazi sana, kumuwaza sana mtu kunapelekra kumuota..Sasa mkuu kuwa makini siku akiota kwa saut unamtafuna na mmewe akasikia.., Unalo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kama mada inavyojieleza wadau. Nina rafiki yangu ambaye anamiliki Mini supermarket. Na pale amemuweka mke wake aisimamie. Mara kwa mara mimi hufika pale kwa ajili ya kufanya manunuzi na kumuungisha rafiki yangu. Kama mwezi mmoja uliopita huyu mama ambaye ni shemeji akaniambia shemeji leo nimekuota. Nikachukulia ni hali ya kawaida ya mfanyabiashara kuvutia mteja. Siku tatu baadae wakati nalipia manunuzi yangu akaniambia tena huku akishangaa na kuniuliza, inakuaje niote nafanya mapenzi na wewe wakati nimelala na mume wangu? Mara ya pili sasa nakuota. Kwa jinsi nilivyo mstaarabu nikaazimia kuacha kufika dukani hapo. Sasa juzi rafiki yangu akaniuliza shehe mbona umeacha kuniungisha shemeji yako anasema hakuoni siku hizi. Au umepata sehemu yenye huduma bora kuzidi kwetu? Nikamwambia nachelewa kutoka kazini. Tukaishia hapo. Sasa maswali ninayojiuliza na kuomba msaada kwa wadau ni haya. Inawezekana kweli mwanamke akamuota mwanamme mwingine wakati amelala na mumewe? Na inawezekana kuwa huyo mwanamke ametamani kuchepuka na mimi na akaamua kutunga uongo ili aninase kirahisi? Na swali la tatu ni je hakuna uwezekano kuwa hiyo ni mpango uliopangwa baina ya wawili hao ili wanifumanie na kunichomoa kiakiba changu? Naomba kuwasilisha..
Mkuu mbona Mimi juzi usiku wa ijumaa nimeota namla mke wa mtu ambaye miaka miwili iliyipita alikuwa mfanyakazi mwenzangu. Inawezekana.
 
Mwanamke hawez akakurupuka tu kukuambia amekuota unamla ,punguza mazoea na mke wa mtu
 
mtu yeyote hawez kuota kitu kama hakiwazi sana, kumuwaza sana mtu kunapelekra kumuota..Sasa mkuu kuwa makini siku akiota kwa saut unamtafuna na mmewe akasikia.., Unalo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hili nalo neno[emoji1]

Maana jamaa atajua moja kwa moja kuwa sababu iliyopelekea j
Asiwe anamuungisha jamaa ni kujihisi kuwa jamaa kajua kuwa anatembea na mke wangu...

Mpaka kufikia hatua ya mke kumuota jamaa[emoji1]


So..na mimi nakazia kuwa makini sana mkuu.
 
Ni hivi una vitu ambavyo vimemvutia huyo mwanamke ambavyo amekosa kwa mumewe ndivyo vimemfanya akufikilie zaidi

Huwenda ukawa ni mcheshi unavaa mavazi ayapendayo kwahiyo sio ajabu wewe kumvutia yeye yote yanawezekana.

Kuhusu fumanizi mwanamke mwenye akili hawezi kukubali kudhalilika kirahisi kiasi hicho labda ungemuanza wewe na u Ms imbue kwa muda mrefu.
 
Back
Top Bottom