St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
- Thread starter
-
- #61
Kumbe huyu ananidanganya. Yeye anasema kaniota wakati tunasex na wewe unasema haijawahi kukutokea kumuota mwanaume mnananihii au kuna tofauti kati ya mwanamke na mwanamke?kwa hiyo ulimuota omosexy hapo na wezere lake au?mimi sijawahi kuota zaidi ya mwanaume tena sikuwa naota tunananiii naota mengine
Kaka hayajakukuta kaka. Siku yakikukuta utanikumbuka kisha utasema hiiiiiiiiiiiiii...Kapate huduma acha mazoea na mashemeji zako,ukifika salaam ndeeeefu alafu ukiambiwa umeotwa unastuka
Tena unamwambia hivyohivyo aisee nimekufaidi sanaTena mi nikimuota ntamfaidi kweli maana alivyo na chura..
I guess soon utaniotaHalafu sijui kwa nini nikiona post zako mwili unasisimka kabla hata ya kusoma..
Nikikuota lazima nikutafute nikupe chako sipendi vya bure mimi. Napenda kugharamia..I guess soon utaniota
Hahahaha mm nilishawahi muota mtu hapa JfLakini hebu wadada mtueleze. Kiukweli na nyie huwa inatokea unamuota mwanaume kama tunavoota sisi? Maana sisi tunaota na unapiga bao kabisa. Kama mimi nilishawaota amu Evelyn Salt Demiss Ulweso kapeace na wengine wengi tu.
Duh kumbe kweli inawezekana.....Hahahaha mm nilishawahi muota mtu hapa Jf
Kabisaa sema tuliishia njianiDuh kumbe kweli inawezekana.....
Haa hamkumalizia? Ilikua bahati mbaya kwelikweli..Kabisaa sema tuliishia njiani
Mala nyingi ndoto ni tafasri ya ukifikiliacho,,hivyo kama una mazoea nae sana lazima uotwe na utaotwa sana,na ile tabia ya kuacha chenji ndogondogo lazima utaotwa sanaKaka hayajakukuta kaka. Siku yakikukuta utanikumbuka kisha utasema hiiiiiiiiiiiiii...
Hakuna cha ndoto hapo ni maneno ya kutunga tuIla swali linaloniumiza kichwa ni inakuaje mwanamke amuote mwanaume ambaye si mume wake wakati yupo kitandani na mumewe?? Na inawezekana kuwa hata wake zetu nao wanawaota wanaume wengine wakati wapo na sisi??
Hiyo ya mwizi nimeipenda naona leo nimepita tena kaongeza na kurembua macho. Angejua kuwa nimemuanzishia uzi huku ...........Ni kweli kwamba mtu hawezi kujichagulia kwamba leo aote nini akilala. Lakini kuwa makini na mtego huo lainilaini. Mwizi huyo, atakumaliza.
Noted mkuu..Kuhusu kuwa mpango kati yake na mumewe si rahisi mkuu hayo hufanyika uswazi sana , ni kuwa shemeji anakutaka basi