Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Niko kwenye matatizo makubwa sana sielewi hata nifanyaje aisee
Mimi ni kijana mchakarikaji kinoma ambaye napiga kaz zangu na jion kurud gheto kutulia na kusikiliza music
Sasa siku moja nikiwa natoka job si unajua tena folen la dar na nyomi kubwa la watu, nikiwa natembea zangu kwa mguu nilimuona sister mmoja ambaye alikuwa akidrive private car huku akiwa kashusha vioo vya gar akisikiliza nyimbo ya ngwea geto langu
Baada ya kumtizama nikampa hai mambo sister akasema fresh huku akifunga break akanambia njoo nikupe lift bro, sikuona noma kijana nikapanda dinga aina ya prado new model lenye usajil wa D, tulienda tukipiga story lakin mtoto nilikuwa nikimchekesha kinoma na akapiga salute juu ya maswaga yangu ya hatari sana. Tuliendelea na safar mwisho wa siku kubadilishana namba
Kama kawa kama dawa mtoto akanielewa mwenyewe tukapanga siku ya kuoanana na tukakutana hotel fulan nikapiga show kama kawa
Toka nimpige show kwa sasa mimi simpend kinoma lakin anakuwa ana force tukutanae nipige show nami sina kinyongo nakutana naye napiga show kama kawiz
Lakin juz uzalendo ulinishinda nikamtakia waz kuwa simutak na simpend mtoto kalia kinoma na anataka kujiua
Kadai kama nikimuacha atajiua na mimi nitasota sana maana mizimu yake itaniandama had mwisho wa maisha yangu
Mume wake anafanya kaz mbali sana yuko nchi moja inaitwa italy
Yaan hata sielewi nifanyeje ushaur wenu wadau ndo utakao nitoa kimaso maso
LONDON BABY
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Niko kwenye matatizo makubwa sana sielewi hata nifanyaje aisee
Mimi ni kijana mchakarikaji kinoma ambaye napiga kaz zangu na jion kurud gheto kutulia na kusikiliza music
Sasa siku moja nikiwa natoka job si unajua tena folen la dar na nyomi kubwa la watu, nikiwa natembea zangu kwa mguu nilimuona sister mmoja ambaye alikuwa akidrive private car huku akiwa kashusha vioo vya gar akisikiliza nyimbo ya ngwea geto langu
Baada ya kumtizama nikampa hai mambo sister akasema fresh huku akifunga break akanambia njoo nikupe lift bro, sikuona noma kijana nikapanda dinga aina ya prado new model lenye usajil wa D, tulienda tukipiga story lakin mtoto nilikuwa nikimchekesha kinoma na akapiga salute juu ya maswaga yangu ya hatari sana. Tuliendelea na safar mwisho wa siku kubadilishana namba
Kama kawa kama dawa mtoto akanielewa mwenyewe tukapanga siku ya kuoanana na tukakutana hotel fulan nikapiga show kama kawa
Toka nimpige show kwa sasa mimi simpend kinoma lakin anakuwa ana force tukutanae nipige show nami sina kinyongo nakutana naye napiga show kama kawiz
Lakin juz uzalendo ulinishinda nikamtakia waz kuwa simutak na simpend mtoto kalia kinoma na anataka kujiua
Kadai kama nikimuacha atajiua na mimi nitasota sana maana mizimu yake itaniandama had mwisho wa maisha yangu
Mume wake anafanya kaz mbali sana yuko nchi moja inaitwa italy
Yaan hata sielewi nifanyeje ushaur wenu wadau ndo utakao nitoa kimaso maso
LONDON BABY