Mke wa mtu anataka kuzaa na mimi. Je, nimtafune au nimpotezee?!

Cha Mwenzio mavi Tafuna utafunwe
 
mtoto hanunuliwi kwa 1 million kama unampa mpe kama zawadi na hakikisha hautakuja kumsumbua kamwe kuhusu mtoto!,kama hauwezi achana nae ila jamaa lisikujue utaisha kizazi!
 
mtoto hanunuliwi kwa 1 million kama unampa mpe kama zawadi na hakikisha hautakuja kumsumbua kamwe kuhusu mtoto!,kama hauwezi achana nae ila jamaa lisikujue utaisha kizazi!
Nishampa ushauri wa maana akili kichwani
 
Zaa naye halafu n ww uzalishwe na mme wake mnabadilishana mazingira kila la kheri
 
kuna milioni 1 endapo tu nitakubali kulala naye ili apate mtoto.

Ulivyo mweleze, hiyo pesa amekudharau sana. Ka mbali nae huyo despo

Kazi hiyo labda digits mbili ndefu zinahusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…