Mke wa mtu anataka kuzaa na mimi. Je, nimtafune au nimpotezee?!

Hii mbona ni ya Erick Shingongo?
 
Kiufupi kwa sasa ni Mke wa mtu, mume wake anafanya kazi na moja ya benki hapa Tanzania kama Branch Manager. Hapa nina appointment ya next week tutoke out? Je nikule akazae apate kuokoa ndoa au nitupilie mbali hili jambo?

Wewe unadhani huyo mumewe hajui kwqmba hana uwezo wa kutia mimba mwanamke?
 
Huyo ni mke wangu nimemruhusu we mtafune tu mkuu uwe na amani
 
Mrejesho
 
Aseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…