VINICIOUS JR
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 208
- 518
Kwema wadau. kama mada inavyojieleza, leo nikiwa natoka mishemishe naelekea home nikakutana huyu dada akaniita nikaenda kumsikiliza kuja pale ndo ananiambia kaniota ndotoni nampelekea moto wakati sijamtongoza.
Nikamuuliza unanipenda kanijibu hapana, pia nikamuuliza kipindi unaniota ulilala na mme wako akajibu ndio sasa nikamwambh je, unge ropoka usingzini hayo uliyonambia ingekuaje anachoongea hakieleweki.
Yaani nimebaki nimeduwaa silewi nifanyaje.
Nikamuuliza unanipenda kanijibu hapana, pia nikamuuliza kipindi unaniota ulilala na mme wako akajibu ndio sasa nikamwambh je, unge ropoka usingzini hayo uliyonambia ingekuaje anachoongea hakieleweki.
Yaani nimebaki nimeduwaa silewi nifanyaje.