Lakini ana watoto na mumewe!Kuna Aina ya Damu mtu akiwa nayo atoweza zaa mtoto katika Ndoa yake. Huenda Mumewe ana hilo tatizo so anataka wa Kuzaa nae.
Biologically marriage should be avoided in between a Rh+ male and Rh+ female b Rh– female and Rh– male c Rh+ female and Rh– male d Rh+ male and Rh– female
The correct option is: d Rh+ male and Rh– femaleExplanation:Rh factor is a protein found in blood. A person having Rh factor in blood is called Rh positive whereas that who does not carry this protein in the blood is called Rh negative. Marriage should be avoided in between Rh negative female &...www.doubtnut.com
Ndio maana RC aliingia mtego, Yaani mtu kukuangalia tu ulishawaza ngono? Hujafikiria labda anataka akutoe kafara?Kuna mwanamke ni mke wa mtu ila inaonekana amenitamani, hili si tatizo kwangu maana nalimudu.
Tatizo langu ni pale aliposema nikapime group langu la damu alafu ni mwambie, hili kalirudia sana na kunisisitiza, huku akisema yeye ni group O- hvyo na mimi nipime kisha nimwambie.
Nimbana anataka kugundua nini hataki kusema, bora hata angesema nipime ngoma ningejiongeza kwamba labda anataka kunipa tunda.
Kwa hivyo anataka nizae nae au?Mkuu, ngoja nikurahisishie mambo...
Kuna group za damu na pia kitu kinachoitwa Rh+ au Rh-.
Huyo bidada maana yake ni group O Rh- kwa hivyo mwanaume itabidi awe pia na Rh- pamoja na blood group yeyote hakuna shida. Mwanaume akiwa na Rh+ kuna uwezekano mkubwa mimba kuharibika au hata kuhatarisha maisha ya mama.
Ni hayo tu kwa kifupi.
Kwa Mwanamke hili 100% linawezekana mkuuLakini ana watoto na mumewe!
Au wale nao kapigwa yule jamaa?