Mke wa mtu kaniletea msala

Huyo demu kama sio Muikizu atakuwa Mjita au mzanaki maana mademu zenu wa huko Mara wanalika na wazinzi sana. Na sababu zao za kuficha uzinzi wao ni hizo hizo kuwa hawaridhishwi na wanaume zao!
 
Mwenyewe umekiri tendo la ovu ulilolifanya so kitakachokukuta mungu anajua angalia uliyomfanyia mke wa mtu yasije nawe kukuta akikupata jua dunia Kijiji
 
Jiandalie kabisa mafuta mkuu maana jamaa kwa hasira anaweza akasahau kujanayo๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Mda wa wewe kuliwa mtandao pendwa wako umefika. Tembea na mafuta ili usidhurike sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ