Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Kula tu baba lakini na wewe ujiandae kuliwa Yas Mixx!Mke ya mutu nintamu jamani siwezi acha kula wake za watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula tu baba lakini na wewe ujiandae kuliwa Yas Mixx!Mke ya mutu nintamu jamani siwezi acha kula wake za watu
Hili litakuwa igizo! Eti sipei! Halafu makofi anayopigwa pastor wala hayana uzito!mbona kama maigizo tu ya wa Kenya
Wakenya wanaigiza kwa viwango unavyoweza kudhani ni kwelimbona kama maigizo tu ya wa Kenya
Mke ya mutu nintamu jamani siwezi acha kula wake za watu
Nikosa la jinai kufananisha Yas na tigoNa yeye aliwe yas
Ubaya ubaya
Hana akili utakuta linamfulia nguo mke wake bwegeKweli mzee wangu unaleta igizo kama taarifa serious?
Herbalist Dr MziziMkavu ujue una heshima yako sana humu JF sasa kuleta maigizo haya na kuhusisha pastor sio sawa, whats was ur intention, catch readers au dhihaka kwa pastors? Kwa nini hukusema Sheikh?HUYU SASA NADHANI ALIKUWA AMEKUJA KUFANYA MAOMBI TAKAKITU NA TAKATIFU MAOMBI TAKAKITU IKAFAULU TAKATIFU PIA.
View attachment 3189584
Duh hatarii io.....HUYU SASA NADHANI ALIKUWA AMEKUJA KUFANYA MAOMBI TAKAKITU NA TAKATIFU MAOMBI TAKAKITU IKAFAULU TAKATIFU PIA.
View attachment 3189584
Punguza sautiNi mpuuzi, anakulaje mke wa mtu wakati singo mama wamejaa tele hawana waume?