Mke wa mtu sumu, cheki kideo

Dah! Kwa umbali huo, sidhani kama huyo jamaa alipona.
 
alafu mke akaachwa tu? mke angekatwa hata sikio.yani boya alifanya kama kwake
amejifunga hadi taulo na anasubiri supu apate nguvu....kmamaeee
Sijajua ilikuwaje maana kuna Mwanangu mmoja ni Fundi Umeme ndio alinisimulia huo mkasa na sikumuuliza vipi Mke wa Jamaa aliendelea kuishi pale au ilikuwa vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…