Mke wa mtu

nafikiri unajua jema na baya huyo ni mke wa m2 kaa chonjo usijiaribie mambo yako
 
Inaelekea si mtamu huyo dada.
Maana wanaume kama mwanamke ni mtamu hawaji kuomba ushauri ,wanajishauri wenyewe huko huko.
Maana jibu unalijua ila unataka majibu ya kukupa moyo kuwa kula kama ya kina Mh. Emasaku.
Wake zetu huwa watamu na ndio maana tunaendelea kuwa nao,sasa wewe leta usharobaro wako,Kikwete kiishasema hamtetei mtu.
Ukienda au ukianza kumla aga kabisa kwenu na waeleze kila mali yako ilipo maana unakuwa kama unakwenda vitani,kurudi ni majaliwa.:rip:
 

Achana naye. muepuke kabisa kama ukoma, wake za watu utajiongezea mikosi katika maisha yako. nyama ni ile ile.
 
Kaka mke wa mtu ni sumu acha kabisa,
unapaje uchungu unapockia mkeo
anatoka nje ya ndoa? Mwkite sehemu
lakini uwe na shaidi ili umukanye mbele
ya rafiki yako lazima aache kukufuatilia.
 
Mhmmm! sijui labda wewe ulimtongaza? au lengo lako ni kututangazia kuwa upo nje ya nchni?
 
Kaka mke wa mtu ni sumu acha kabisa,
unapaje uchungu unapockia mkeo
anatoka nje ya ndoa? Mwkite sehemu
lakini uwe na shaidi ili umukanye mbele
ya rafiki yako lazima aache kukufuatilia.

Kwanini sumu Mkuu?
 
Kila jaribu lina mlango wa kutokea....mkumbuke muumba wako siku za ujana wako kabla hazijaja siku zilizo mbaya kwako!
 
Mweleze hafai kuwa nawe! Hana sifa hata kdogo..! Atakasirika lkn hatakusumbua tena.
 
Usimkawize, mweleze Mumewe, tena tafuta ushahidi wa kutosha, ikiwezekana wasiliana nae kwa sms, ili uzitumie kama ushahidi pia apart ya hiyo email, na kama vipi wasiliana naye ukiwa umekaa na Mume wake somewhere, iweke simu loud speaker ili Mumewe asikie mwenyewe kwa masikio yake kuwa kweli ni sauti ya Mkewe, kwenye hayo mazungumzo, hakisha yawe ya kimahaba huku ukimwita sweetie, love or unavyoona wewe, ili kufanikisha huo mtego, sasa hivi usiwe mbishi na mkali, legeza kamba kabisa, kuwa mpole, uwe karibu naye, ili aone umeshamkubalia, na maneno matamu ya kimahaba umpumbaze nayo, hiyo siku utakayokuwa na mshikaji ukiwasiliana na Mkewe, muelekeze huyo dada aje akutane na wewe hapo ulipokaa na Mumewe bila huyo dada kujua, muute labda kwa lunch utakavyoona wewe, atapokaribia kufika au akikucall ili kujua umekaa wapi, mwambie mshikaji akatulie sehemu hata kama ni toilet halafu aje awakute mmekaa pamoja, na kama vipi kabla hajajitokeza toka mafichoni, amcall Mkewe, amuulize yujo wapi muda huo, ili ajue uwongo wa Mkewe, we ndio umshtue jamaa kwa sms, sms uwe umeshaiandaa ili utume tu, au mbeep, akijitokeza, mkiss Mkewe kwenye shavu, au kwenye lips kwa juu juu tu huku jamaa akishuhudia kwa macho yake mwenyewe, hapo the game is over, muache ajieleze kwa Mumewe, atakoma kukutongoza.
 
Mweleze hafai kuwa nawe! Hana sifa hata kdogo..! Atakasirika lkn hatakusumbua tena.
 
nimeshamweleza sana kwa mdomo kwani sitaki ushahidi wowote wa ujumbe wala kumpigia simu lakini hanielewi
na wewe utakuwa una matatizo ya kibaolojia...hapa uje wakati ushamfyatua sio kuleta mangonjera unatupotezea
konsentrasheni ya mambo ya igunga bana
 
Mwambie huyo mwanamke hardware haisimami au haisimiki atasepa kiaina.
 
Muogope mungu wako...embu fanya huyo ndio mkeo afu watu wanakugongea...acha hiyo utakufa siku si zako hamna msamaha kwa kula mke wa mtu
 
nashukuruni sana kwa ushauri nitaufanyia kazi maana kupoteza kakibarua kangu naogopa ndio maana sitaki kabisa kujihusisha na mambo ya wanawake kwa hapa hawa wananchi wa hapa hawana subir wanaweza wakakubanika hadharani
 

Mkuu asante kwa ushauri mzuri sana. I wish afuate ushauri wako period.
 
Kwangu Mi ningempatia haki yake. Maana ni dhahiri kwamba mwanaume aliye naye ni mzigo tosha. Best! Fakamia cargo. Hatakama upo nchi ya wa2 we unafikiri wanaume wote wako sawa,we hebu shughulikia kisawasawa kama hajakupa siri ya mumewe kedekede na si ajabu ukamgonga mpaka huyo mme wake. KAZI KWAKO!
 
Ni hivi kwa kiasi fulani umechangia hali hiyo...now deal with it. Kwa taarifa yako ni vigumu sana kwa mwanamke kwenda front kiihivyo kama haoni uwezekano fulani. Kwa maana nyingine hali hiyo umeichangia wewe either moja kwa moja au indirectly.
Look back changanya na ushauri unaoupata hapa kisha tatua hilo tatizo...kumbuka 90% ya ufumbuzi iko kwako wachangiaji tuna asilimia ndogo sana ya kukusaidia kupata jawabu sahihi.
 
Kama kuna watoto wataokuwa involved achana nae na usimwambie mumewe, ata give up tu!
Kama hawana mtoto.... halafu "futa" analo la kumwaga, bandua tu!, utakuwa umemfania jamaa favour, kwa sababu huyo mwanamke hastahili kuwa na mtu ambaye atamcheat.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…