jk_watatu
Member
- Mar 20, 2022
- 31
- 32
Sina mambo mengi ndugu zangu, nadhani kichwa cha habari kinaeleweka.
Mimi ni mume wa mke mmoja na watoto kadhaa na tunaishi kwa upendo na amani kabisa na familia yangu, ila nahitaji mwanamke ambaye amechoka kurukiwa rukiwa hovyo na kuachwa ili nimuoe awe mke wangu wa pili.
Kigezo awe mfanyakazi wa serikali kitengo chochote kile, kama ni muhitaji fasta njoo PM.
Mimi ni mume wa mke mmoja na watoto kadhaa na tunaishi kwa upendo na amani kabisa na familia yangu, ila nahitaji mwanamke ambaye amechoka kurukiwa rukiwa hovyo na kuachwa ili nimuoe awe mke wangu wa pili.
Kigezo awe mfanyakazi wa serikali kitengo chochote kile, kama ni muhitaji fasta njoo PM.