[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakija wengi huko PM hebu nasi tufanyie reallocation within the Vote..,
B.Latifah mhmhhhh....wewe[emoji23][emoji23]
Hahhahahaha naona hupendi stressAmbao hawana wivu wanakuja
Kwa hali hii unavumilia tuHahhahahaha naona hupendi stress
Hahhah mwanakondoo wangu nilikufundisha vizuri sana kwamba ndoa ni ya mume mmoja na mke mmoja tu...hongera kwa kuchukia mitaraWanakuja mkuu wenye kutaka kuwa wake wenza
Aaaahh.., Mke mwenye wivu hapana aisee, yani ukikaribia na Nyumbani inabidi uhakikishe Cm haina chembe ya Call au SMS yenye viashiria vya Jinsia tofauti, kama ni kwenye Gari uhakikishe kama unauliowapa lift hakuna walichosahau chenye kiashiria cha Ke..,Mm Kiukweli Nina wivu sijui kama kuna mwanaume atavumilia
Nachukia mnoo halaf mbona we nimekuona hapo juu unataka kuongezaHahhah mwanakondoo wangu nilikufundisha vizuri sana kwamba ndoa ni ya mume mmoja na mke mmoja tu...hongera kwa kuchukia mitara
Wa kwanza weweSubiri wanakuja
Wee hutaki mamii?Wanakuja mkuu wenye kutaka kuwa wake wenza
Tumehalalishiwa kuowa wake 2,3,4 ikiwa haujimudu japo mmoja.Ivi sababu gani yakufanya kuoa mke wa pili? mkeo yuko mbali hawezi majukumu au unafanya sababu ime halalishwa?
Siutaki hata kuusikia na dini yangu hairuhusuWee hutaki mamii?
Kila mtu atavuna alichokipanda......Mzee unataka kumiliki mbunye mbili, hiyo ya kwanza umesha imaliza utamu unataka mpya, ndo mana mabenk yanafilisika tunalima watoto badala ya mazao
Hata mkuu haija khusu kuthibitiwa wala upungufu wa imani basi tuu mnajiendekeza ningeelewa kama kuna sababu ya msingi kama mke hapati watoto au anaumwa,kujitabisha kwa nini?Tumehalalishiwa kuowa wake 2,3,4 ikiwa haujimudu japo mmoja.
Ila kwasisi ambao tumehalalishiwa kubaki na mmoja ilihali una uwezo wa wawili ni upungufu wa imani na kudhibitiwa na mke.
Mungu ndo karidhia hakuna mke hata mmoja anaekushauri kumuongezea wa pili.Mkeo anajua kama unataka kuongeza mke wa pili?
Ameridhia?
Kila la kheri mkuu upate hitaji la moyo wako.
AaakhaaaWa kwanza wewe