Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
au nadanganya mjomba nchumali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akikosa kilainishi wanamwendeaa hata kavu kudadek ,akae mbali na mke wa mtu.Ukidakwa hakikisha una kichupa cha mafuta lainishi
Fujo ipo palepale hujamkuta tu akiwa amembinua makalio sebleni kwako ndio utajua hauijui wezombiNikikukuta na wangu nakuachia uendelee naye mimi naoa mwingine
Hakuna ugomvi wala fujo yoyote
Ukiwa maskini ndiyo utakufa na upwiruNa huyo nae akijichanganya anashikishwa ukuta siku hz ukiwa mstaarabu sana utakufa na upwiru
Fujo utafanya wewe mshamba wa kFujo ipo palepale hujamkuta tu akiwa amembinua makalio sebleni kwako ndio utajua hauijui wezombi
Atapakazwa mate[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akikosa kilainishi wanamwendeaa hata kavu kudadek ,akae mbali na mke wa mtu.
Unaweza ukapewa kweli namba zake lkn hakika unachokifikiria kinaweza kisitokee.huyo mwanamke anamtaka huyo dogo kwa sifa na vigezo alivyonavyo pengine wanaume wengine hawana sifa na vigezo alivyonavyo dogo.mpehizi nambazangu nimshauri
0755187656
We utakua mzaliwa wa 1964Tangu zamani nilijiwekea mipaka marafiki zangu marufuku kuwapeleka nyumbani labda niwe naumwa tofauti na hapo mambo yetu tunamalizia bar.
Namba ya simu ya rafiki yangu kwenye simu ya mke wangu ya nini?futilia mbali.
Marafiki wanafki sana
Nikazie au?Km jamaa Yako n rafiki Yako kitambo na unaujua umuhimu wa rfk Yako ktk maishà Yako bac huyo mwanamke n shetan aliyekuja kuwatenganisha na kuwavuruga kbs mtoke Kwenye mstari mliopo..
Chakufanyaa block Kila mahali unapowasiliana naye na hakikishaa usiruhusu mkutane Kwa namna yyt Ile na km mnakaa sehemu Moja jaribu kuhama Kwa ajili ya kulindaa afya ya urafiki wenu mlioshibana na kusaidiana Kwa Kila ktu..
Usimwambie mwana chcht kilé vunga kiumee.
Ni hayo tu kutoka kwangu Mzee wa kataa NDOA.
Ruksaa mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Nikazie au?
Soon utapakwa mafuta jiandae kisaikolojia siku ukikutana na Mkono wa Bwanawanawake mimi nisukariyao mkuu
Nisikukute na mke wangu ndio utajua uchizi wangu ulivyoNimekureport na wala sitajibizana na wewe tena maana ni chizi
mle...!Naombeni msaada wa mawazo mke wa rafiki yangu ananitaka kimapenzi nifanye je?