Zambavuni
Senior Member
- May 24, 2012
- 118
- 26
- Thread starter
-
- #21
NYUMBA KUBWA, Hiyo nimeikubali mia kwa mia na ninaufunga mjadala.
Amfundishe mkewe kukataa na trick za kutimua watu kama hao..Nachelea kusema huyo mwanamke ni wa aina yake...Kama yeye mwenyewe mtu mzima hajuhi kutimua mtu basi kazi ipo...
Na nataka kuangalia upande wa pili wa shilingi... sawa jamaa hajatulia..ndio...lakini mi navyowajua watu wasiojua kutimua wanaume atakuwa anampa signals ambazo zina read nataka... ndio maana anamfata bila kuchoka.
Nakumbuka those days nikiwa kijana mtu akinifata mara ya kwanza namjibu vizuri tu kuwa asante kwa kunipenda (maana kupendwa ni heri) lakini samahani siko interested. Kesho akinifuata tena akyanani siongei kitu wala kumwangalia simwangalii mwenyewe atajiona chizi harudi tena...Wanaume ukianza kujibishana nao mbona watakushinda... ooh mimi mke wa mtu... ataanza... hata mimi mbona nina mke. Hakuna discussion kuna watu wana 'A' za ku argue. Ni kujifanya bubu na kumfanya watu wamuone chizi anaongea peke yake. Ina work sana.