In fact it's a model cited the world over.
Hey, how come the other guy didn't get a copy?
They say no one has seen the article since it was written. I always wonder where is a copy the other signatory was given.
kuhusu marekani au nchi nyingine yeyote ile sitambui katiba zao zinasema nini ktk hilo...
Sasa hilo ndio lilikuwa swali. Mwenzako alidai katiba ya Tanzania, tofauti na ya Marekani, haitambui Mke wa Rais. Sasa ya US inasemaje?
hakuna umuhimu wewote wa kujua hilo kwani sisi hatuishi marekani! kama marekani katiba yao inamtambua au haimtambui hilo ni juu yao wamarekani na watu wanaoishi huko.... sisi tunaongelea tz kama hoja asilia inavyosema... sasa kama ndivyo, basi jibu ndilo hilo kwamba katiba yetu haimtambui mke raisi zaidi ya mke au mme BASI
Hujaelewa tena.
Mchunguzi alijenga hoja inayosema kwamba Katiba ya Tanzania -tofauti na US- haimtambui Mke wa Rais. Akaulizwa mbona hata ya US haisemi hivyo?
Ilikuwa ni katika kuchambua mifimo miwili ya Katiba kuangaliza tofauti za Kisheria. Ndio Katiba ya Kigeni ilivyokuja hapa.
sisi tunaongelea tz kama hoja asilia inavyosema
Wa kufuata sheria yuko wapi?
Hapa watu wanatetea unga tu.
ukibisha kazi huna, ukizingatia umeajiriwa kwa msaada wamtu ambaye ameshastaafu!
............huyu mama sasa inabidi atulie kwa kuwa ANAKARIBIA KWENDA LABOR....AT least misafara isiyokuwa na kichwa wala miguuu itapungua mjini!!!!!!
...AND offcourse kwa kuwa muhashimiwa kaongeza mke mpya[mpwaye rostam]....si haba bibiye akitusumbua na SHOW OF MIGHTY ZA MISAFARA NA WAPAMBE NA PRESIDENTIAL PRESS TEAM ....as if yeye ndio SHEIN!!!!...YOTE HII KUWAKOGA ...
Mkuu,
Katiba ya US inamtambuaje mke wa rais na yetu haimtambui vipi? Unaweza kutoa vifungu vya reference?
Mimi nafikiri kama kuna mjadala uwe ni juu ya umuhimu wa safari na kama haingiliii kazi za kiutendaji ambazo zingetakiwa kuwa a strict domain ya watendaji wa serikali na siyo juu ya kwamba First Lady anasafiri mwenyewe.Kusema kuwa First Lady hawezi kusafiri mwenyewe kutakuwa ni hatua ya kwanza kuelekea kusema kwamba dada zetu hawatakiwi kutoka nje ya nyumba bila kusindikizwa na kaka, mume au ndugu wa kiume. First Lady anaweza kutumika vizuri sana katika "ceremonial duties" kama kufungua Zahanati na ku officiate mashindano ya uzuri.Siafiki First Lady kuwa na nafasi katika ushauri wa sera.
Sioni tatizo la First Lady kusafiri kivyake, anaweza kutumika vizuri kuhamasisha huduma za jamii wakati rais anafanya shughuli nyingine.Tatizo labda, kama lipo, MOJA ni gharama na umuhimu wa safari kutowiana katika "cost benefit analysis" na la pili ni kuingilia sana katika kazi za kisera za watendaji wa serikali.
Siyo kwa sababu Kikwete tu au CCM tu basi kila kitu tuwe tunaponda bila msingi.
Pundit,
kipi bora,
(i) mke wa rais kufanya hivyo viziara ambavyo vina angalau manufaa kidogo kwa taifa letu na akatumia kodi yetu kidogo (kwa ridhaa ya walio nyuma yake, na wala si kwa kuiba),
AU
(ii)kuibiwa rasilimali za taifa, hasa kwenye migodi, hifadhi za taifa, kwa mikataba mibovu pamoja na ufisadi uliokithiri km vile kwenye manununzi ya umma, EPA n.k.
Tatizo unawasikiliza sana akina dada, wao wanaweza kuwa wanaongea wakiwa na somesort of a bias, to some extent. Tatizo ni kwamba mwanaume akishajigundua kuwa ana positive attraction kwa wanawake, hamna namna ambayo unaweza ukawakwepa kuwa nao wengi. lakni sasa hii huwa inakuja inarepuccate negatively kwa mke wako (kwa waliooa) au girl friend wako, maana wale unaotembea nao lazima wapretend kuwa wanamdharau (they are however, inferior to her all the time as long as long as they still amidmirerher husband,... I mean you!). Hiyo dharau ya kusingizia lazima iambatane na kumuonea wivu mhusika, yaani mke wako au girl friend wako, na sometimes kuwa wanajaribu kumponda kwa kupuliza puliza unapokuwa uko nao!
Mimi sion tatizo kwa nini Mama Kikwete asipiwe kelele kwa kazi nzuri anayoifanya. Tupige kelele kwa hele za EPA, Richmond, n.k.
Naomba kuwasilisha
Tatizo labda, kama lipo, MOJA ni gharama na umuhimu wa safari kutowiana katika "cost benefit analysis"
i mean she cant stay still in a box ... she wants to be recognized kwa lazima .. seems she has a lot of rivals so she wants to secure her position ... heard one time she nearly tripped on the red carpet because of mbwebwe ... she gombeyad some position in lindi jumbani kwao cant remember what .. she's the hungry type .. you remember when Amina (Mungu amrehemu) tried to advise her ... eeeeh she collected all her vidole juu group wakamponda mtoto wa watu ... guess if you can really read btn the lines you can tell it straight from her face on the telly wherever she appears
Pundit,
kipi bora,
(i) mke wa rais kufanya hivyo viziara ambavyo vina angalau manufaa kidogo kwa taifa letu na akatumia kodi yetu kidogo (kwa ridhaa ya walio nyuma yake, na wala si kwa kuiba),
AU
(ii)kuibiwa rasilimali za taifa, hasa kwenye migodi, hifadhi za taifa, kwa mikataba mibovu pamoja na ufisadi uliokithiri km vile kwenye manununzi ya umma, EPA n.k...........
Aende USEI amuulize mama Clinton aliamua kuomba kura za useneta sasa mama analindwa na kula kodi za wananchi bila kutumia jina la mumewe.
Amina tried to advice her (first lady) on what matter, please remind me