Mke wa Said Fella unatuharibia wadada hapa mjini

Yeye mwenyewe kajichubua kiasi akichania hashoneki haafu bado anasambaza upendo kwa wenzake mbaya zaidi anauza bei TFDA wapo kimya
Hivi nyinyi mnataka TFDA ifanye nini??? kwani hawajui madhara ya mikorogo hiyo???
Tujuilize kwa nini kina dada zetu wanapenda sana kutumia hiyo mikorogo?
Jee haiwezekani chanzo cha yote haya ni sisi midume na kasumba zetu za kupenda kina dada wanaong'ara????
 
Hiyo mikorogo haijapitishwa na TBS na hao TFDA?
 
mimi siamini kipodozi chochote hapa bongo
ndo maana natengeneza mafuta yangu ya nazi kila week najipaka
unakuta mtu kachanika sijui michirizi utadhani nyoka mjane wa miaka mia
bora nionekane mshamba
natamani kuongeza chura wangu kidogo maana huku mjini msingi chura ila nitafanya tu mazoezi
 
Kajipika, kajikoboa, kajichuna, huyo ukikaa karibu nae ananukaaaaa, wanawake weupe wana soko kwa wanaume, ila wawe natural, sio kujikoboa hivyo, huyo ukimshika ananata nata ngozi kama kachunwa ngozi... wana kinaishaaaaaaaaaaaa... aaaarrggh.... kinyaaa tupu
 
Tatizo sio yeye bali wale wanaotaka wawe weupe
 
Hili suala la kujichubua limekithiri sana hasa Dsm unakutana na mwanamke anakuwa na rangi tatu mwilini;nyeupe,nyekundu na nyeusi kama PEPO AU SHETANI.
Yaani unakuta mwanamke yuko kama jini huwa siwapendagi wanawake wa namna hii maana huwa ni msiba hao na hanivutii hata chemmbe na huwa ninajisikia kinyaa nikumuona TU.
Inaonekana chura wa Dsm wanapenda uweupe sana na kushawishika kuharibu sura zao na madhara makubwa hupata ya ngozi mwili kama cancer ya ngozi.

Rai yangu: Ambao bado hamjajiingiza kwenye upepo/ujini huo msithubutu maana sisi wanaume tunao jitambua hatuwapendi wanwake wa namna hii na kuwaona kama KUBUHU MAKAHABA.
Zaidi utamjibu nini Muumba wako siku ya kiama chako????
 
Kama kila binadamu wana jua madhara ya vitu wanavyo tumia basi hamna haja ya kuwa na TFDA kwasababu wana pokea mishahara ya walipa kodi Pasipo kufanya kazi!!
 

Kweli, ongeza CHURA mumy... sisi wanaume mjini ugonjwa wetu chura... churaa huyoo jamani churaaa... churaaaa..

Ukiwa huna churaaa hutapata soko au hata kuolewa mjini ni kazi... nenepesha chura sana na ujue kuitumia kwa yule atakaye kuoa...

Alafuuu nikupe siri, ukitaka chura anenepe haraka kula sana nazi kwa dagaa, nazi kwa mboga mboga, pia usisahau kula supu kidogo kwa chapati...

Chura atakuwa anaruka ruka tu, ata ukiwa unakaa au kutembea kidogo sana chura anarukaaa sanaaa

Mjini msingi churaaa.. tunenepesheee.. kisha ni pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…