Mke wa Tundu Lissu apewe tuzo

Mke wa Tundu Lissu apewe tuzo

Ni wajibu wake kama mke kufanya aliyofanya kwa mume wake
sasa huku tunapoelekea wanawake wataonekana wanastahili wapewe tuzo kwa kuzaa mtoto, mtoto apewe tuzo kwa kukubali kwenda shule, na baba apewe tuzo kwa kulipa ada za watoto.

Yani tutafikia hatua tuzo zitatolewa kwa vitu ambavyo ni wajibu wake mtu kufanya jambo hilo alifanyalo.

Tusiwe soft kiasi hiki.
 
sasa huku tunapoelekea wanawake wataonekana wanastahili wapewe tuzo kwa kuzaa mtoto, mtoto apewe tuzo kwa kukubali kwenda shule, na baba apewe tuzo kwa kulipa ada za watoto.

Yani tutafikia hatua tuzo zitatolewa kwa vitu ambavyo ni wajibu wake mtu kufanya jambo hilo alifanyalo.

Tusiwe soft kiasi hiki.


Imagine maisha tunayoelekea!

Mtu kamfanyia hayo mume wake apewe na tuzo eti.....matumizi mabaya ya tuzo
 
Imagine maisha tunayoelekea!

Mtu kamfanyia hayo mume wake apewe na tuzo eti.....matumizi mabaya ya tuzo
Hapo sasa.. Tuzo anapewa mtu ambae amefanya kitu out of the ordinary. Sasa hapo mke wa Lissu sijaona uextraordinary wake wowote.
 
Lkn cha ajabu Tundu Lisu mwenyewe hamthamini Mke wake kabisa, kwani hajawahi kumtaja wala kumshukuru popote pale, Tundu Lisu ni Binadamu selfish sana siajabu akisoma huu uzi hata akanuna kwa wivu kwamba sasa Mke anasifiwa na sio yeye, huyu jamaa ni kama mtoto, ...
Kwani mwenyekiti wenu anamthamini mkewe,kila siku kuropoka kuhusu wanawake kwenye majukwaa kama zuzu
 
Back
Top Bottom