wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Nakusubir Sana kipenz cha moyo wanguNakuja haraka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakusubir Sana kipenz cha moyo wanguNakuja haraka sana
sasa huku tunapoelekea wanawake wataonekana wanastahili wapewe tuzo kwa kuzaa mtoto, mtoto apewe tuzo kwa kukubali kwenda shule, na baba apewe tuzo kwa kulipa ada za watoto.Ni wajibu wake kama mke kufanya aliyofanya kwa mume wake
sasa huku tunapoelekea wanawake wataonekana wanastahili wapewe tuzo kwa kuzaa mtoto, mtoto apewe tuzo kwa kukubali kwenda shule, na baba apewe tuzo kwa kulipa ada za watoto.
Yani tutafikia hatua tuzo zitatolewa kwa vitu ambavyo ni wajibu wake mtu kufanya jambo hilo alifanyalo.
Tusiwe soft kiasi hiki.
Hapo sasa.. Tuzo anapewa mtu ambae amefanya kitu out of the ordinary. Sasa hapo mke wa Lissu sijaona uextraordinary wake wowote.Imagine maisha tunayoelekea!
Mtu kamfanyia hayo mume wake apewe na tuzo eti.....matumizi mabaya ya tuzo
Kwani mwenyekiti wenu anamthamini mkewe,kila siku kuropoka kuhusu wanawake kwenye majukwaa kama zuzuLkn cha ajabu Tundu Lisu mwenyewe hamthamini Mke wake kabisa, kwani hajawahi kumtaja wala kumshukuru popote pale, Tundu Lisu ni Binadamu selfish sana siajabu akisoma huu uzi hata akanuna kwa wivu kwamba sasa Mke anasifiwa na sio yeye, huyu jamaa ni kama mtoto, ...
Tena mbele ya mkewe, wala haoni aibu au fedheha.Kwani mwenyekiti wenu anamthamini mkewe,kila siku kuropoka kuhusu wanawake kwenye majukwaa kama zuzu
Wanachojua wao ni kumsifia tu, wako kama mazuzu suguTena mbele ya mkewe, wala haoni aibu au fedheha.