Ngoja nimwambie mkeo akuburuze mahakamani akudai bilioni 6 kwa kuzaa nje nahakama ya hapa hapa nchini wiki hiiHuu upuuzi utafika Tanzania siku moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nimwambie mkeo akuburuze mahakamani akudai bilioni 6 kwa kuzaa nje nahakama ya hapa hapa nchini wiki hiiHuu upuuzi utafika Tanzania siku moja.
Labda rais awe wa jinsia pendwa. Akirudi wa jinsia nyingine bya byeHuu upuuzi utafika Tanzania siku moja.
TawileHuu upuuzi utafika Tanzania siku moja.
Wanaume tunapitia mengiAlooh..unaweza kuishiwa nguvu za kiume kizembee kabisa..
Sijui ila naonaga watu wanapelekana ustawi wajamiiHii safi sana, kwani bongo sheria zetu zinasemaje?
Kama nakuona utakavyoburuzwa mahakamani🤣Sijui ila naonaga watu wanapelekana ustawi wajamii
Ndio maana sinafunga ndoa na mali zangu nimeandika mama yangu.Huu upuuzi utafika Tanzania siku moja.
Kweli kabisa, huko mbeleni mambo hasa ya kipuuzi kuhusu wanawake yatafika tu bongo.Huu upuuzi utafika Tanzania siku moja.
Tutarogana.😂 patachimbika
Labda rais awe wa jinsia pendwa. Akirudi wa jinsia nyingine bya bye
Annie Kilner ambaye ni mke wa beki wa kulia wa Manchester City, Kyle Walker anadai fidia ya pauni milioni 15 sawa na Bilioni 54,428,016,000 kwa pesa za Tanzania kama fidia ya yeye kukubali kuendelea kubaki kwenye ndoa baada ya mume wake kuzaa watoto wawili nje ya ndoa
View attachment 3112042
Kesi hii iliteka vichwa vya habari nchini Uingereza mwezi January mwaka huu, baadae Walker alitoka hadharani kukiri kosa hilo lakini hivi karibuni imeibua sura mpya baada ya Annie kuajiri mtu maalumu wa kufuatilia utajiri wa Walker akiendelea kusisitiza kudai fidia hiyo
View attachment 3112044
Walker na Annie walifunga ndoa mwaka 2021 na wamebarikiwa kupata watoto wanne Roman (12) Riaan (7) Reign (5) na Rezon (Miezi sita)View attachment 3112043
Amen 😹Huu upuuzi utafika Tanzania siku moja.
Wewe huijui ccm vizuri, trust me after this ccm wont repeate hilimkuu hayo mambo yanakuja, na zaidi ukizingtia sisi wenyewe wanaume ndio tunayapigia chapuo bila ya kujielewa