Mke wa Walker anadai Bilioni 54 baada ya mume wake kuzaa nje ya ndoa

Walker naye hajielewi, alizaa nje mtoto wa kiume. Mkewe akamsamehe, hakukaa sana akaenda kuzaa nje na mwanamke yuleyule wa mwanzo, mtoto wa kike. Na amekuwa akikana, ila ukweli ukawekwa wazi.

Kipindi mkewe ana ujauzito wa mtoto wa 4, mchepuko umemsumbua sana. Alikuwa akimtext kumwelezea mauhusiano yake na mumewe, mtu ni mjamzito. Acha apewe ni halali yake. Walker mwenyewe kapendezwa na hilo inaonyesha, wambea wanasema kuwa watoto wake watakuwa na financial security
 

Kijana nimempenda bure. Anazalisha wanawake. Mbappe anadate wanaume wenzake.
Huyu anayezalisha mambo yake yanaelezeka kuliko mafirauni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…