Mke wa Waziri afumaniwa....

Mke wa Waziri afumaniwa....

Mimi siziamini picha hizo kwa sababu zifuatazo:
1. Kitendo cha waziri huyo kuruhusu mkewe huyo kupigwa na huyo shemeji yake aliye kifua wazi.
2. Shemeji mtu mwenye jeans kama hakuwa ndani alitoka wapi kuja kumpiga wakati yupo kifua wazi au alimpiga wakati ameshavua shati, kitendo ambacho si rahisi
3. Hakuna hata picha moja hapo ya huyo aliyefumania, yaani Waziri.
4. Huyo mwanamke mwenye baibui wanasema kafumaniwa na alikua akizini, alijiremba saa ngapi na lipstick hiyo mdomoni baada ya kutokea tukio hilo lenye utata?
5. Sidhani kama kichwa cha huyo mwenye baibui ndiyo cha mwenye mwili huo
6. Anaonekana alipigwa picha akipata kibano kama ni sebuleni vile. Akaenda chumbani akavaa baibui akafuatwa tena huko na waandishi akawaruhusu wampige picha akiwa amekaa kwa huzuni hivyo.

Uzushi na uongo mtupu!


...You are Right. Ni story ya kutengeneza tu watu wapeleke mikono kinywani!

 
mimi siziamini picha hizo kwa sababu zifuatazo:
1. Kitendo cha waziri huyo kuruhusu mkewe huyo kupigwa na huyo shemeji yake aliye kifua wazi.
2. Shemeji mtu mwenye jeans kama hakuwa ndani alitoka wapi kuja kumpiga wakati yupo kifua wazi au alimpiga wakati ameshavua shati, kitendo ambacho si rahisi
3. Hakuna hata picha moja hapo ya huyo aliyefumania, yaani waziri.
4. Huyo mwanamke mwenye baibui wanasema kafumaniwa na alikua akizini, alijiremba saa ngapi na lipstick hiyo mdomoni baada ya kutokea tukio hilo lenye utata?
5. Sidhani kama kichwa cha huyo mwenye baibui ndiyo cha mwenye mwili huo
6. Anaonekana alipigwa picha akipata kibano kama ni sebuleni vile. Akaenda chumbani akavaa baibui akafuatwa tena huko na waandishi akawaruhusu wampige picha akiwa amekaa kwa huzuni hivyo.

Uzushi na uongo mtupu!
uongo huu ndio uliomkosesha kura shigongo
 
Jamaa hodari wa kuandaa igizo na kulifanya stori ili tu auze gazeti
 
Kawaida tuu mm sioni cha aajabu hapo,kizuri kulaaaaa....... siyo yeye tuuu afaidi vyote,mara za EPA,Richmond na toto kama hilo pia mmhhh
 
Uzuri wa Udaku huwa hatukubali kukosa cha kuandika as usual mdau.
 
Kwa nini isiwe ukweli? Story ambayo huwezi amini ndiyo huwa inaandikwa. Zile za wazi na kuaminika huwezi kukuta kwenye udaku. Kwa mfano mtu kamshika kiuno mkewe ikiandikwa kwenye gazeti hakuna atayenunua. Cha ajabu kipi? Lakini ukute story kuwa mtu kamshika kiuno mke wa rafiki yakempendwa hapo inakuwa bonge la mvuto na gazeti litatoka sana kwa mauzo. Mimi naamini kuna ukweli hapa
 
Kwa nini isiwe ukweli? Story ambayo huwezi amini ndiyo huwa inaandikwa. Zile za wazi na kuaminika huwezi kukuta kwenye udaku. Kwa mfano mtu kamshika kiuno mkewe ikiandikwa kwenye gazeti hakuna atayenunua. Cha ajabu kipi? Lakini ukute story kuwa mtu kamshika kiuno mke wa rafiki yakempendwa hapo inakuwa bonge la mvuto na gazeti litatoka sana kwa mauzo. Mimi naamini kuna ukweli hapa

...Common Sense.
 
Huyu mke wa ndoa au nyumba ndogo tu?



awe wa ndoa aumke mdogo au nyumba ndogo; ukweli ni kwamba huo ni unyanyasaji wa wanawake kwani mume mmoja hawezi kutosheleza mahbat kwao wote na ni haki yake huyo mmama kutafuta satisfaction nje ya nyumba.
 
Back
Top Bottom