Mke wa yahya sinwar anamiliki handbag la gharama ya $32,000.

Mke wa yahya sinwar anamiliki handbag la gharama ya $32,000.

Hivi kwanini handbags nyingi za bei mbaya(designers) zina sura mbaya? Siwezi beba pochi kama hiyo kiukweli, au ushamba unanisumbua?
 
Hivi kwanini handbags nyingi za bei mbaya(designers) zina sura mbaya? Siwezi beba pochi kama hiyo kiukweli, au ushamba unanisumbua?
Nyingi ni handmade, Hizi hazizalishwi viwandani, ni very skilled labour anakaa kwa masaa ya kutosha kuziunda kwa ngozi kama ya Mamba, Mbuni, Mijusi n.k, hivyo yale madoido mengi yanayoweza kufanywa na mashine hayapo.

Fahari yao kubwa ni Ubora na kuona ule uasili wake, sio shoo ya mchina, kitu inapigwa maurembo mpka hujui nini kimetumika kutengeneza halafu anza kuhesabu siku.
 
Nyingi ni handmade, Hizi hazizalishwi viwandani, ni very skilled labour anakaa kwa masaa ya kutosha kuziunda kwa ngozi kama ya Mamba, Mbuni, Mijusi n.k, hivyo yale madoido mengi yanayoweza kufanywa na mashine hayapo.

Fahari yao kubwa ni Ubora na kuona ule uasili wake, sio shoo ya mchina, kitu inapigwa maurembo mpka hujui nini kimetumika kutengeneza halafu anza kuhesabu siku.
Ni sawa lakini kwangu mimi napenda pochi yenye muonekano mzuri halafu ubora unafata.
Sasa hiyo hapo jamani inasura mbaya😀. Hata ikiuzwa elfu 20 siwezi inunua
 
Huo ubilionea wake umewasaidia nini watu wa Gaza?!
Wao wanataka uhuru wa ardhi yao sasa pesa kwao ni kama tu kurahisisha shughuli zao ndio maana hata mtoto wake alisema damu ya babake sio yenye thamani sana dhidi ya watu wengine wa gaza waliopoteza uhai
 
Mke wa Nyau ana miliki Billion na wananchi wa Israel wanakufa njaa. Hivi we unadhani israel hakuna masikini wanao imba barabarani ili warushiwe hata kishekel kimoja 😄
Wewe kwa akili zako fupi unafikiri Israel ni Shithole Country kama nchi yenu au kama hizo mnazoshabikia.
*******************************************
Israel GDP Income Per Capita-$52,219

Russia GDP Income Per Capita-$14,391

China GDP Income Per Capita-$12,614

Iran GDP Income Per Capita- $4,503

North Korea GDP Income Per Capita-$1,217

Tanzania GDP Income Per Capita-$1,211
*****************************************
 
Wewe kwa akili zako fupi unafikiri Israel ni Shithole Country kama nchi yenu au kama hizo mnazoshabikia.
*******************************************
Israel GDP Income Per Capita-$52,219

Russia GDP Income Per Capita-$14,391

China GDP Income Per Capita-$12,614

Iran GDP Income Per Capita- $4,503

North Korea GDP Income Per Capita-$1,217

Tanzania GDP Income Per Capita-$1,211
*****************************************
We dogo usiwe unamini sana hizo infomation mara nyingi sana ni waongo tu. Kuna nchi mimi naijua wananchi wanakufa nje lakini katazame GDP income per capital Israel haoni kitu 😄
 
Back
Top Bottom