Mke wa zamani wa Ricado Kaka afunguka sababu za kumsaliti mume wake, adai utakatifu wa Kaka kwake ulimboa

Mke wa zamani wa Ricado Kaka afunguka sababu za kumsaliti mume wake, adai utakatifu wa Kaka kwake ulimboa

Sieger

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2022
Posts
3,180
Reaction score
7,521
Mke wa zamani wa Ricardo Kaka, aliyemsaliti akiri kwamba Kaka alikuwa mume bora sema aliboreka na maisha matakatifu aliyoishi Kaka.

Kwa maneno yake anasema "Kaka hakuwahi nisaliti, alinijali na kunipa familia inayopendeza, ila sikuwa na furaha, niliona kuna kitu kinakosekana. Tatizo kubwa ni kwamba Kaka alikuwa mkamilifu (mwema) sana kwangu".

Mchezaji wa zamani wa Brazil, AC Milan na Real Madrid, na mshindi wa Kombe la Dunia mwaka 2002, Ricardo Kaka alikuwa mlokole aliyempenda sana Yesu na kuishi maisha mema. Kaka hakuwa na drama kwa mke wake wala kashfa yoyote ya kuwa na kamchepuko huko nje. Sasa hapo inakuja mambo ya 50/50.

My take: Wanaume wakamilifu katika uchumba na ndoa wanasalitiwa sana na wake zao/ wachumba zao. Inaonekana wanawake wanadumu zaidi kwenye mahusiano ya kiuonevu ( toxic relationships) kuliko mahusiano yaliyotulia ( stable relationships). Wanawake wanasema wanataka wenye hofu ya Mungu ila kiukweli wanataka wanaume amshaamsha na si wenye hofu ya Mungu.

Screenshot_20240412_231316_Chrome.jpg
 
Mke wa zamani wa Ricardo Kaka, aliyemsaliti akiri kwamba Kaka alikuwa mume bora sema aliboreka na maisha matakatifu aliyoishi Kaka.

Kwa maneno yake anasema "Kaka hakuwahi nisaliti, alinijali na kunipa familia inayopendeza, ila sikuwa na furaha, niliona kuna kitu kinakosekana. Tatizo kubwa ni kwamba Kaka alikuwa mkamilifu (mwema) sana kwangu".

Mchezaji wa zamani wa Brazil, AC Milan na Real Madrid, na mshindi wa Kombe la Dunia mwaka 2002, Ricardo Kaka alikuwa mlokole aliyempenda sana Yesu na kuishi maisha mema. Kaka hakuwa na drama kwa mke wake wala kashfa yoyote ya kuwa na kamchepuko huko nje. Sasa hapo inakuja mambo ya 50/50.

My take: Wanaume wakamilifu katika uchumba na ndoa wanasalitiwa sana na wake zao/ wachumba zao. Inaonekana wanawake wanadumu zaidi kwenye mahusiano ya kiuonevu ( toxic relationships) kuliko mahusiano yaliyotulia ( stable relationships). Wanawake wanasema wanataka wenye hofu ya Mungu ila kiukweli wanataka wanaume amshaamsha na si wenye hofu ya Mungu.

View attachment 2961926
ndio yalionikuta ×2 hawa kenge sio wakuwaonea huruma.😟😟
 
Wa koo za simba tushaelewa alikikosa nini.

Hiyo huwepo pande zote mbili. Kuna wanawake pia hawataki mambo hayo ndio wanaume wanasaliti.

Uzuri ni kua, koo za simba hatuna tatizo hilo.
 
Ndio wanawake wanataka wahuni, ila wakivurugwa haswa wanatafuta walio tuliwa, wakisha wapata wanakumbuka enzi wapo kwa wahuni na kurudi kwa wahuni.

Huyo binti kishapigwa matukio ya kutosha na wahuni sasa hivi kaanza kumkumbuka Kaka.
 
Siku zote huwa nasema mwanamke anapenda amsha amsha. Yan akae haoni mwanaume akifanya harakati zozote? Nayeye anaanza kujishtukia kama vile hayuko sehemu salama. Mpe amsha amsha kidogo akili imkae sawa.

Amsha amsha inaweza kuwa kwenye game(toa utakatibu wako peleka moto na usimuonee huruma) pia kwa vitukio vidogo vidogo(vi message na simu zisizoeleweka, mara simu unapokelea pembeni au una mute), mbadilishie ratiba yan asiizoee ratiba yako. Hii inampa nafasi ya kujitafakari nafasi yake kwako na kwenye ndoa.

N.B sio mara zote hiyo mbinu itafanikiwa kwa sababu wanatofautiana. Kuna mwingime ukimpiga katukio kamoja tu ndio ushampoteza, muhimu kujua wa kwako yukoje. Hayana formula pia msiendekeze utakatifu mnoo
 
Siku zote huwa nasema mwanamke anapenda amsha amsha. Yan akae haoni mwanaume akifanya harakati zozote? Nayeye anaanza kujishtukia kama vile hayuko sehemu salama. Mpe amsha amsha kidogo akili imkae sawa.

Amsha amsha inaweza kuwa kwenye game(toa utakatibu wako peleka moto na usimuonee huruma) pia kwa vitukio vidogo vidogo(vi message na simu zisizoeleweka, mara simu unapokelea pembeni au una mute), mbadilishie ratiba yan asiizoee ratiba yako. Hii inampa nafasi ya kujitafakari nafasi yake kwako na kwenye ndoa.

N.B sio mara zote hiyo mbinu itafanikiwa kwa sababu wanatofautiana. Kuna mwingime ukimpiga katukio kamoja tu ndio ushampoteza, muhimu kujua wa kwako yukoje. Hayana formula pia msiendekeze utakatifu mnoo
You must have your own identity

Kwa nini unasema tusieleweke, kama yeye haeleweki apite hivi.

Kueleweka ndio kujitambua ndugu.
 
Mke wa zamani wa Ricardo Kaka, aliyemsaliti akiri kwamba Kaka alikuwa mume bora sema aliboreka na maisha matakatifu aliyoishi Kaka.

Kwa maneno yake anasema "Kaka hakuwahi nisaliti, alinijali na kunipa familia inayopendeza, ila sikuwa na furaha, niliona kuna kitu kinakosekana. Tatizo kubwa ni kwamba Kaka alikuwa mkamilifu (mwema) sana kwangu".

Mchezaji wa zamani wa Brazil, AC Milan na Real Madrid, na mshindi wa Kombe la Dunia mwaka 2002, Ricardo Kaka alikuwa mlokole aliyempenda sana Yesu na kuishi maisha mema. Kaka hakuwa na drama kwa mke wake wala kashfa yoyote ya kuwa na kamchepuko huko nje. Sasa hapo inakuja mambo ya 50/50.

My take: Wanaume wakamilifu katika uchumba na ndoa wanasalitiwa sana na wake zao/ wachumba zao. Inaonekana wanawake wanadumu zaidi kwenye mahusiano ya kiuonevu ( toxic relationships) kuliko mahusiano yaliyotulia ( stable relationships). Wanawake wanasema wanataka wenye hofu ya Mungu ila kiukweli wanataka wanaume amshaamsha na si wenye hofu ya Mungu.

View attachment 2961926
Dah..!! Watakatifu wanaachwa, wa michepuko nao wanaachwa. Hivi wanawake sasa mnataka nini??
Eti dada To yeye, Bantu Lady, shemela Evelyn Salt, mtani Kalpana et el, mnataka nini sasa?
 
Mke wa zamani wa Ricardo Kaka, aliyemsaliti akiri kwamba Kaka alikuwa mume bora sema aliboreka na maisha matakatifu aliyoishi Kaka.

Kwa maneno yake anasema "Kaka hakuwahi nisaliti, alinijali na kunipa familia inayopendeza, ila sikuwa na furaha, niliona kuna kitu kinakosekana. Tatizo kubwa ni kwamba Kaka alikuwa mkamilifu (mwema) sana kwangu".

Mchezaji wa zamani wa Brazil, AC Milan na Real Madrid, na mshindi wa Kombe la Dunia mwaka 2002, Ricardo Kaka alikuwa mlokole aliyempenda sana Yesu na kuishi maisha mema. Kaka hakuwa na drama kwa mke wake wala kashfa yoyote ya kuwa na kamchepuko huko nje. Sasa hapo inakuja mambo ya 50/50.

My take: Wanaume wakamilifu katika uchumba na ndoa wanasalitiwa sana na wake zao/ wachumba zao. Inaonekana wanawake wanadumu zaidi kwenye mahusiano ya kiuonevu ( toxic relationships) kuliko mahusiano yaliyotulia ( stable relationships). Wanawake wanasema wanataka wenye hofu ya Mungu ila kiukweli wanataka wanaume amshaamsha na si wenye hofu ya Mungu.

View attachment 2961926
Aahaaaa

Kumbe
 
Back
Top Bottom