Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Wanawake wako tofauti sana na sisi wanaume,
Mwanaume anaweza kuchepuka si tu kwamba hampendi mke wake hapana ila anaweza kuchepuka tu kwa sababu ya tamaa mfano,
Kasikia kwa rafiki zake wakisifia utamu wa wanawake wenye matako/Matiti makubwa na yeye mke wake hana, hapo anaweza kuchepuka kwa sababu hiyo lakini siyo kwa sababu hampendi mke wake,
ila mwanamke akichepuka Jua kwamba anachepuka na Upendo wake wote, kama alikuwa hana dharau hapo ataanza kuonyesha wazi wazi,
hii inakuwa ni kama sign ya kuonyesha kwamba wewe si kitu chochote tena kwake,
Kama ni penzi anapewa na mtu mwingine huko nje na anainjoi kuzidi unalompa wewe,
Sasa mwanamke akishafikia hatua hii anaweza kufanya chochote ili mradi usiwe kero kwake,
Na kama mnavyojua dawa ya kero ni kuiondoa na hapo ndipo Kifo kinapochukua nafasi kubwa kwa mwanaume,
Ukiona mke wako anadai taraka ili aachane na wewe bila sababu ya msingi shukuru Mungu uwenda amekuonea huruma hataki kukuua.
Cc Zero IQ
Mwanaume anaweza kuchepuka si tu kwamba hampendi mke wake hapana ila anaweza kuchepuka tu kwa sababu ya tamaa mfano,
Kasikia kwa rafiki zake wakisifia utamu wa wanawake wenye matako/Matiti makubwa na yeye mke wake hana, hapo anaweza kuchepuka kwa sababu hiyo lakini siyo kwa sababu hampendi mke wake,
ila mwanamke akichepuka Jua kwamba anachepuka na Upendo wake wote, kama alikuwa hana dharau hapo ataanza kuonyesha wazi wazi,
hii inakuwa ni kama sign ya kuonyesha kwamba wewe si kitu chochote tena kwake,
Kama ni penzi anapewa na mtu mwingine huko nje na anainjoi kuzidi unalompa wewe,
Sasa mwanamke akishafikia hatua hii anaweza kufanya chochote ili mradi usiwe kero kwake,
Na kama mnavyojua dawa ya kero ni kuiondoa na hapo ndipo Kifo kinapochukua nafasi kubwa kwa mwanaume,
Ukiona mke wako anadai taraka ili aachane na wewe bila sababu ya msingi shukuru Mungu uwenda amekuonea huruma hataki kukuua.
Cc Zero IQ