Mke wako wako asikuzidi jina, nyumba yako itambulike kwa baba au mzee fulani na sio kwa mama au bibi fulani

Israel has a different case, u cant compare with Tz, because in Israel The president's powers are largely ceremonial, while the prime minister holds the executive power.
 
Kabisa, na kwa kuwa huwa mnashindwa majukumu tutaishia kujulikana sisi.
 
Sawa.

Ova
 
Wanaume wanahitajika kuwajibika ipasavyo bila kuhitaji sifa ndomana mwanaume akifanya chochote hasemi mtaani ila mwanamke akifanya atasema kwa mashoga zake wote ili wamsifu.
Kuitwa kwa mama au baba flani kunatokana na nani anashinda zaidi na kujihusisha na jamii inayomzunguka.
Wanawake wengi wanapenda kutangaza mambo yao hatakama amefanya mwanaume usishangae mwanamke akisema amefanya yeye hivyo kumfanya awe maarufu zaidi ya mumewe.
 
Kwanza mimi watu huwa wananiita kwa jina langu, sipendi kuitwa Baba fulani hata mke wangu namuita kwa jina lake.
Mkuu hamna watoto?
Kama mnao hao watoto ni wadogo sana , au tuseme hawana marafiki?
Juzi nilikuwa nakatiza mtaani sina hili wala lile nikashanga vitoto vimeniamkia shikamoo baba flani nikaviitikia tu hata sivijui .
Nikawa najiuliza vimenijuaje juaje?
 
HIYO INAWEZEKANAGA KIJIJINI TU LAKINI MJINI NI VIGUMU SANA MWANAUME KUJULIKANA KAMA UTAMBULISHO WA MJI
 
Acha unafki wako wewe , upande wako unajulikana,
Desmond Tutu 1931–If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor.
 
Tulikuwa kwenye pesa saiv jina dah kwamba wanaume tuanze kuprint bango lenye jina letu tukaweka nje ya nyumba zetu ili watu wakipita wasome tujulikane
 
NI Sawasawa na úwe Rais WA nchi hii alafu nchi jirani na Huko kimataifa Waiite nchi yako Kwa Jina la Makamu wako au Waziri Mkuu. Hiyo kiutawala Moja Kwa moja
Hapa mkuu ndipo umefeli! Unalinganishaje mke na nchi jirani? Kwa hiyo kwako mke ni sawa na jirani? Yeye siyo mmiliki wa hiyo nyumba? Duh, kazi ipo!
 
Kwa kweli wewe pumzika tu! Leo umetulisha uchafu! Yaani ushindane na mke ambaye vikundi vyote mtaani ni member! Tangu ulipohamia huo mtaani wa kwanza kujulikana alikuwa mke wako sasa utashindana naye vipi kwenye kujulikana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…