Mke wangu alalamika

ili kuendelea kufuliwa na mkeo, basi endelea kumuwachia pesa kwenye mifukon ya suruali
 
Mfanyie suprise umtoe kwenye majonzi, muekee mara moja moja kwa wiki angalau tabasamu lake lirudi.

Ataanza kuwa na furaha
 
Mwambie kuanzia 2020 mwezi wa December mambo yatakuwa poa mwambie atakuwa anakuta hadi Laki
 
Legeza asije kujiongeza ktk namna isiyo nzuri.
 


Alikuwa anazipeleka wapi?
Kama alikuwa ananufaika nazo katika mambo yake tofauti na ndoa, maana yake huyo hakufai kwakuwa mguu wa kushoto huutegemea mguu wa kulia na mguu wa kulia huutegemea ule wa kushoto ili kufanya mwendo.
Vinginevyo anakushtaki kwa maana ya kwamba alikuwa anaponea fedha ya kusahaulika mifukoni baada ya wewe kutoacha fedha ya matumizi nyumbani, hii ni kama alikuwa anakula makombo nawe wala chakula safi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…