Mke wangu alalamika

Mke wangu alalamika

ili kuendelea kufuliwa na mkeo, basi endelea kumuwachia pesa kwenye mifukon ya suruali
 
Mfanyie suprise umtoe kwenye majonzi, muekee mara moja moja kwa wiki angalau tabasamu lake lirudi.

Ataanza kuwa na furaha
 
Jana mke wangu ameamua kufunguka akisema "Kabla ya mwaka 2015 alipokuwa anachukua nguo zangu kufua alikuwa anakuta kwenye suruali na mashati,elfu 5000,2000,1000,20000, na 500

Lakini siku hizi hata sh 100 haipati kwenye suruali

Nimeshindwa la kumwambia imebidi ninyamaze tu
Mwambie kuanzia 2020 mwezi wa December mambo yatakuwa poa mwambie atakuwa anakuta hadi Laki
 
Legeza asije kujiongeza ktk namna isiyo nzuri.
 
Jana mke wangu ameamua kufunguka akisema "Kabla ya mwaka 2015 alipokuwa anachukua nguo zangu kufua alikuwa anakuta kwenye suruali na mashati,elfu 5000,2000,1000,20000, na 500

Lakini siku hizi hata sh 100 haipati kwenye suruali

Nimeshindwa la kumwambia imebidi ninyamaze tu


Alikuwa anazipeleka wapi?
Kama alikuwa ananufaika nazo katika mambo yake tofauti na ndoa, maana yake huyo hakufai kwakuwa mguu wa kushoto huutegemea mguu wa kulia na mguu wa kulia huutegemea ule wa kushoto ili kufanya mwendo.
Vinginevyo anakushtaki kwa maana ya kwamba alikuwa anaponea fedha ya kusahaulika mifukoni baada ya wewe kutoacha fedha ya matumizi nyumbani, hii ni kama alikuwa anakula makombo nawe wala chakula safi.
 
Back
Top Bottom