TRANSPONDER
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 400
- 993
well saidMwanamke akishaanza umalaya huwa ni vigumu Sana kuacha zaidi atabadili mbinu za kutokamatwa
Mtoa mada kapigwa kitu kizito siku ya honeymoonAliyeelewa anisaidie
Binafs ningedili nao wote perpendicularly,Hii ni aibu mkuu we na falsafa zako ungefanyaje just imagine ndo ww daaah [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mi imeniuma Sana japo si mimi
Ondoka hapo ucje kuua mtu.Shetani alianza kuingilia harusi yangu baada ya DJ kupiga nyimbo ya King Crazy GK ntakufaje
Sentensi ya umemaliza kuchinja ndo inahalalisha hilo jicho la ng'ombeAlafu siajabu huyo G anamla jicho mkeo ohooo
Ova
mkuu mbona umewaza mbali Sana[emoji23][emoji23][emoji23]Alafu siajabu huyo G anamla jicho mkeo ohooo
Ova