Mke wangu alitembea na mume wa mtu, sijui nifanye nini

📌📌😁😁
 
Kwani akijiua tatizo liko wapi jombaa uhai si-niwakwake muache ajiue , Huyo anachofanya anajaribu kuku brain washe 🤣🤣😁 udhani kwamba anajutia alicho kifanya Ili umsamehe anajaribu kutafuta sympathy toka Kwako na Kwa watu wenu wa karibu , Always gals wote wako hivyo wakishazingua jambo la kwanza Huwa Wana pretend kwa kujiuliza Liza ukiwa boya tu ukijaa na kujifanya umuonee huruma itakula kwako usidhani kwamba itakuwa ndio mara yake ya mwisho kukusaliti ,, subiri kuona akimpa uroda ndugu Yako wa karibu baada ya wewe kumsamehe ,, All in all pole sana I feel yah pain nigga
 
Nitumie namba za mkeo pm mkuu. Nina jambo langu nae. Tuma na picha.
 
Kagongewa hadi vichochoroni na kwenye jumba bovu? Fantasy zote wamepitia... Wameenjoy Sana hao aisee
Hamna penzi tamu kama la uchochoroni. Mwenye ndoa mwenyewe hajawahi kupewa penzi kwenye jumba bovu.
 
Story za Facebook za kutunga unaleta jf sasa hapo unataka ushauri wa nn
 
Usimsamehe huyo alafu uone kama anajiua. Wewe hujiulizi kwa nini alishika kisu mpaka uliporudi ndo kashika kisu na katishia kujiua? Na hizo msg zisingeguliwa na huyo bibi mkeo asingekwambia kua anafanya umalaya huo.
 
Usimfanye chochote keshajutia makosa yake, kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa isitoshe hyo n mkeo we ishi nae tu km hakuna kilichotokea cha msingi akamuombe yule bi mkubwa msamaha
 

Umeshamsamehe? Maana hilo ndio ombi lake
 
Apo si mshabadilishana chukua jimama wewe miaka 55 sio mingi sana unakwama wapi kijana
 
Jasir huwa haachi asili, kama n mwanamke ambaye hajatulia n hajatulia tu hata kama ukahama hapo mnapoish ataenda toka na wengne huko makaz mapya.

Ingawa wanasema kosa s kosa, lkn kurudia kosa ndyo kosa lenyewe. Uamuz n wako mtoa mada je, moyo wako unakuambiaje?! Umuache ama umsamehe kwa kuwa amekutishia kujiua, kujiua s rahs hvyo angekuwa amemaanisha kujiua ungemkuta ashajiua.

Mwanamke hawez kumudu mabwana wawiwili, n lzma atampenda mmoja na kumdharau mwngne. Muombe Mungu/Allah akupe mwangaza wa kufanya maamuz yny busara
 
Huyo mzee si ndio yule alikuwa analea familia yako ukipigika? Ulitegemea ilikuwa for free? Kama ulivumilia kuona message za miamala kwenye simu ya mkeo sioni cha ajabu kuona message za kuliwa vumilia tu mzee mpaka utakapopata uhuru wako wa kiuchumi.

ahahaha hhaa huyu mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…