Mke wangu alitembea na mume wa mtu, sijui nifanye nini

Nakuamuru,msamehe.Tunda kitu gani kwani?
 
Sasa kuna kitu gani cha kuomba ushauri ?

Kama mwanamke ni malaya na ushahidi unao si unafukuza tu

Yaani kuna watu wana mambo ya ajabu sana!?yaani kweli kabisa anajiuliza et hajui afanye nn!?hatari sana.kwakweli jamaa mwenyewe hajitambui ndio maana alikua anachapiwa!
 
Yaani kuna watu wana mambo ya ajabu sana!?yaani kweli kabisa anajiuliza et hajui afanye nn!?hatari sana.kwakweli jamaa mwenyewe hajitambui ndio maana alikua anachapiwa!
Kuna wanaume wa hovyo sana hawawezi kujisimamia
 
Naona umeufunga mjadala mkuu. Kwisha kazi.
 
Ulikosea sana kumnyang"anya kisu. Huyo ulitakiwa umlete panga kabisa na kumkabidhi kisha uondoke hapo nyumbani.

Hiyo ilikuwa ni mbinu tu ya kukuvuta umhurumie. Na tambua kuwa alikuwa analialia hapo na kukueleza kwa kuwa alitambua yule mama lazima tu angekutafuta.

Hakuwa na nia ya dhati kutubu. Cha msingi ni kuwa unajua vizuri sana nini cha kufanya na hauhitaji maneno ya wengine. Meseji zote umesoma mwenyewe.
 
Mm mwenye juz nimetoa Boko mke wa mtu kakamatwa na msg zangu nilisikia usku anapigwa Sana kwa kuwa tunaishi jirani nmb ninzo tumia Ni nyingine huwa niliotea kwa wakala Sasa naski anaambiwa mtaje huyo mtu Ni Nani kagoma katakata kapigwa mnoo dah nimeogopa Sana tatizo yule mke nae ajatulia naisi Ana toka na watu wengine
 
Msamehe Haluwa haina makombo, uchi ukishapigwa maji ya udhu unakuwa mpyaaa kabisa.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Mkuu mkeo hachagui 'shoo' (misemo ya vijana wa Sasa) mpaka mijumbani anaenda!? Huu ufuska au balaa
 
Mleta mada wewe ni nguli wa kugongewa. Hili nalo litapita kama zilivyo nyuzi nyingine.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] jei efu bana burudani

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Infidelity kwa ndoa za karne imekuwa tatizo kubwa sana.

Kaa na mke wako muyamalize, ukisema umuache huenda ukakutana na kimeo cha kwenda. Hopefully na wewe at some point in your marriage umeshawahi kucheat.[emoji1787]
Itakuwa hajawahi[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…