Mke wangu alitembea na mume wa mtu, sijui nifanye nini

Mke wangu alitembea na mume wa mtu, sijui nifanye nini

Ngoja niende moja kwa moja kweye mada husika, jana mida ya saa 10 jioni nilipokea simu kutoka kwa bi mkubwa mmoja wa makamo kidogo miaka kama 55 hivi, huyu bi mkubwa alikuwaga jirani yangu nilipokuwa nimepanga mwanzo na mpenzi wangu.

Baada ya kupokea simu yake alianza kujitambulisha mimi ni mama X hapa jirani yako ulipohama, samahani mwanangu naomba tuonane kuna jambo muhimu sana, nikamjibu sawa mama ila saa hz natoka kazini nikifika nyumbani nitakuja huko kwako akajibu sawa naomba uje usikose nakuomba sana, nikamjibu sawa hakuna shida. Niliitikia wito wa kwenda bila kujua kuna jambo gani limetokea.

Sasa wakati nimerudi nipo nyumbani napata chakula mke wangu yupo pembeni nilimuona akiwa kwenye mawazo sana hadi nikamuuliza unawaza nini?, alichonijibu akasema “hamna siwazi kitu”…nilipomaliza kula nikamuuliza tena una shida gani mbona leo umepooza sana, ndio akaanza kuniambia kuwa kuna jambo limetokea ila anaogopa kuniambia, nikamwambia niambie tu hakuna shida, akaanza kufunguka akitanguliza msamaha kwanza “samahani sana naomba unisamehe huku akilia” nikamwambia niambie kuna nini, akaanza kulia tena nisamehe hamy eti mama X amekuta msj zangu kwenye simu ya mume wake msj ambazo ni za muda sana nilikuwa nachat na mume wake ndio kaziona leo. Kiukweli nilipata presha kidogo nikasema okay hakuna shida, mimi nitaenda huko kwa mama X kuona hizo msj.

Nikampigia yule bi mkubwa nikamwambia mama ndio nakuja huko kwako nikukute akasema sawa, nilipofika kwa yule bi mkubwa akaniambia “mwanangu samahani sana kitendo alichokuwa ananifanyia mke wako ni kibaya sana, hapa nilipo hata sijui nifanye nini?, ila nitamfanya kitu kibaya mke wako”, aisee nilishtuka sana nikamwambia kuna nini?, ndio bi mkubwa akanipa simu akiniambia angalia hizo msj za mke wako alivyokuwa wanawasiliana na mume wangu. Daaah nilikuta msj za hovyo sana tena sana wanawasiliana mara wakutane gest wanayoendaga, mara wakafanye mapenzi kwenye jumba, mara vichochoroni, mara chumbani kwake yaan mzee alikuwa anavizia mke wake akiwa hayupo anamuingiza mke wangu chumbani kwake anaenda kula tunda, mara chooni yaan msj kibao za hovyo, wakati nasoma zile msj yule bi mkubwa alikuwa akilia hadi baadhi ya majirani wa pale wakaja na wao wajue nini kinaendelea ndio bi mkubwa akaanza nae kufunguka “yaan huyu mtoto ambae ni mke wangu, lazima nimfanye kitu haiwezekani kabisa atembee na mume wangu alafu aniache mimi hapa nateseka na familia”, ndio majirani nao wakaanza kufungua, mbona sisi tulikuwa tunajua hayo mambo lakn tulikuwa tunaogopa kuongea maana tungesababisha mauaji, nikasema okay mama hakuna shida.

Nikaondoka zangu wakati nipo njiani nilikuwa na hasira sana, nilipofika nyumbani nikamkuta mke wangu analia sanaa huku amesika kisu bora nijiue mimi nitaenda wapi sasa, nisamehe mume wangu nimekosa nisamehe sana, aisee tukaanza mikimiki pale ya kumpokonya kisu kwanza kabla ya mambo mengi, nikabahatika kumpokonya kisu huku bahati mbaya kikiwa kimemkata mkononi damu kama zote, sasa wakati nilipokuwa kwenye harakati za kumpokonya kisu kumbe nje majirani walikuwa wanasikia zile kelele zake ndipo majirani nao wakaja ili wajue kuna nini, kufika pale wanakuta damu kama zote huku mm nikiwa nimeshika kisu mkononi, mke wangu yupo chini analia “naomba unisamehe hammy nisamehe mimi nitajiua usiponisamehe”, yaan hadi naandika haya sijui hata nimfanye nini huyu mwanamke [emoji51]…..?
Pole
 
Anakuzuga tu huyo mke wenu maana sasa mko wawili

wewe & huyo mzee...na kama angetaka kujiua asingesubiri wewe utoke uko kwenye mazungumzo

Angejiua wakati ule ule we unaenda tu kwa yule bi mkubwa na yeye nyuma anajipiga kisu

Sasa ye anajipiga kisu wakati umesharud na unamuona uyo si anakuzuga tu?

Ameshaonja asali ya huyo buda kwaiyo hatobadilika

Cha msingi mrudishe yu kwao kama ni kujiua akajiue kwa baba yake huko

Mwanaume ukishindwa kumuacha mwanamke kwenye usaliti bas usitegemee kama utakuja kumuacha huyo mwanamke

Maana hakuna madhira makubwa zaid ya usaliti

Akili kichwani mwako kaka, we muonee tu huruma utakuja kutupa hadi sisi humu jF
NImeipenda hiyo...kama alikuwa anataka kuniua asingesubiri jamaa arudi...Mkwara tu huo?
 
Msamehe tu. Ila hakuna kuendelea nae. Mwanamke msaliti aachwe Mara moja
 
Ngoja niende moja kwa moja kweye mada husika, jana mida ya saa 10 jioni nilipokea simu kutoka kwa bi mkubwa mmoja wa makamo kidogo miaka kama 55 hivi, huyu bi mkubwa alikuwaga jirani yangu nilipokuwa nimepanga mwanzo na mpenzi wangu.

Baada ya kupokea simu yake alianza kujitambulisha mimi ni mama X hapa jirani yako ulipohama, samahani mwanangu naomba tuonane kuna jambo muhimu sana, nikamjibu sawa mama ila saa hz natoka kazini nikifika nyumbani nitakuja huko kwako akajibu sawa naomba uje usikose nakuomba sana, nikamjibu sawa hakuna shida. Niliitikia wito wa kwenda bila kujua kuna jambo gani limetokea.

Sasa wakati nimerudi nipo nyumbani napata chakula mke wangu yupo pembeni nilimuona akiwa kwenye mawazo sana hadi nikamuuliza unawaza nini?, alichonijibu akasema “hamna siwazi kitu”…nilipomaliza kula nikamuuliza tena una shida gani mbona leo umepooza sana, ndio akaanza kuniambia kuwa kuna jambo limetokea ila anaogopa kuniambia, nikamwambia niambie tu hakuna shida, akaanza kufunguka akitanguliza msamaha kwanza “samahani sana naomba unisamehe huku akilia” nikamwambia niambie kuna nini, akaanza kulia tena nisamehe hamy eti mama X amekuta msj zangu kwenye simu ya mume wake msj ambazo ni za muda sana nilikuwa nachat na mume wake ndio kaziona leo. Kiukweli nilipata presha kidogo nikasema okay hakuna shida, mimi nitaenda huko kwa mama X kuona hizo msj.

Nikampigia yule bi mkubwa nikamwambia mama ndio nakuja huko kwako nikukute akasema sawa, nilipofika kwa yule bi mkubwa akaniambia “mwanangu samahani sana kitendo alichokuwa ananifanyia mke wako ni kibaya sana, hapa nilipo hata sijui nifanye nini?, ila nitamfanya kitu kibaya mke wako”, aisee nilishtuka sana nikamwambia kuna nini?, ndio bi mkubwa akanipa simu akiniambia angalia hizo msj za mke wako alivyokuwa wanawasiliana na mume wangu. Daaah nilikuta msj za hovyo sana tena sana wanawasiliana mara wakutane gest wanayoendaga, mara wakafanye mapenzi kwenye jumba, mara vichochoroni, mara chumbani kwake yaan mzee alikuwa anavizia mke wake akiwa hayupo anamuingiza mke wangu chumbani kwake anaenda kula tunda, mara chooni yaan msj kibao za hovyo, wakati nasoma zile msj yule bi mkubwa alikuwa akilia hadi baadhi ya majirani wa pale wakaja na wao wajue nini kinaendelea ndio bi mkubwa akaanza nae kufunguka “yaan huyu mtoto ambae ni mke wangu, lazima nimfanye kitu haiwezekani kabisa atembee na mume wangu alafu aniache mimi hapa nateseka na familia”, ndio majirani nao wakaanza kufungua, mbona sisi tulikuwa tunajua hayo mambo lakn tulikuwa tunaogopa kuongea maana tungesababisha mauaji, nikasema okay mama hakuna shida.

Nikaondoka zangu wakati nipo njiani nilikuwa na hasira sana, nilipofika nyumbani nikamkuta mke wangu analia sanaa huku amesika kisu bora nijiue mimi nitaenda wapi sasa, nisamehe mume wangu nimekosa nisamehe sana, aisee tukaanza mikimiki pale ya kumpokonya kisu kwanza kabla ya mambo mengi, nikabahatika kumpokonya kisu huku bahati mbaya kikiwa kimemkata mkononi damu kama zote, sasa wakati nilipokuwa kwenye harakati za kumpokonya kisu kumbe nje majirani walikuwa wanasikia zile kelele zake ndipo majirani nao wakaja ili wajue kuna nini, kufika pale wanakuta damu kama zote huku mm nikiwa nimeshika kisu mkononi, mke wangu yupo chini analia “naomba unisamehe hammy nisamehe mimi nitajiua usiponisamehe”, yaan hadi naandika haya sijui hata nimfanye nini huyu mwanamke [emoji51]…..?
Huyo ameshajiua muda mrefu.

Aidha usamehe au usisamehe, unaishi na mfu hapo.
 
Ngoja niende moja kwa moja kweye mada husika, jana mida ya saa 10 jioni nilipokea simu kutoka kwa bi mkubwa mmoja wa makamo kidogo miaka kama 55 hivi, huyu bi mkubwa alikuwaga jirani yangu nilipokuwa nimepanga mwanzo na mpenzi wangu.

Baada ya kupokea simu yake alianza kujitambulisha mimi ni mama X hapa jirani yako ulipohama, samahani mwanangu naomba tuonane kuna jambo muhimu sana, nikamjibu sawa mama ila saa hz natoka kazini nikifika nyumbani nitakuja huko kwako akajibu sawa naomba uje usikose nakuomba sana, nikamjibu sawa hakuna shida. Niliitikia wito wa kwenda bila kujua kuna jambo gani limetokea.

Sasa wakati nimerudi nipo nyumbani napata chakula mke wangu yupo pembeni nilimuona akiwa kwenye mawazo sana hadi nikamuuliza unawaza nini?, alichonijibu akasema “hamna siwazi kitu”…nilipomaliza kula nikamuuliza tena una shida gani mbona leo umepooza sana, ndio akaanza kuniambia kuwa kuna jambo limetokea ila anaogopa kuniambia, nikamwambia niambie tu hakuna shida, akaanza kufunguka akitanguliza msamaha kwanza “samahani sana naomba unisamehe huku akilia” nikamwambia niambie kuna nini, akaanza kulia tena nisamehe hamy eti mama X amekuta msj zangu kwenye simu ya mume wake msj ambazo ni za muda sana nilikuwa nachat na mume wake ndio kaziona leo. Kiukweli nilipata presha kidogo nikasema okay hakuna shida, mimi nitaenda huko kwa mama X kuona hizo msj.

Nikampigia yule bi mkubwa nikamwambia mama ndio nakuja huko kwako nikukute akasema sawa, nilipofika kwa yule bi mkubwa akaniambia “mwanangu samahani sana kitendo alichokuwa ananifanyia mke wako ni kibaya sana, hapa nilipo hata sijui nifanye nini?, ila nitamfanya kitu kibaya mke wako”, aisee nilishtuka sana nikamwambia kuna nini?, ndio bi mkubwa akanipa simu akiniambia angalia hizo msj za mke wako alivyokuwa wanawasiliana na mume wangu. Daaah nilikuta msj za hovyo sana tena sana wanawasiliana mara wakutane gest wanayoendaga, mara wakafanye mapenzi kwenye jumba, mara vichochoroni, mara chumbani kwake yaan mzee alikuwa anavizia mke wake akiwa hayupo anamuingiza mke wangu chumbani kwake anaenda kula tunda, mara chooni yaan msj kibao za hovyo, wakati nasoma zile msj yule bi mkubwa alikuwa akilia hadi baadhi ya majirani wa pale wakaja na wao wajue nini kinaendelea ndio bi mkubwa akaanza nae kufunguka “yaan huyu mtoto ambae ni mke wangu, lazima nimfanye kitu haiwezekani kabisa atembee na mume wangu alafu aniache mimi hapa nateseka na familia”, ndio majirani nao wakaanza kufungua, mbona sisi tulikuwa tunajua hayo mambo lakn tulikuwa tunaogopa kuongea maana tungesababisha mauaji, nikasema okay mama hakuna shida.

Nikaondoka zangu wakati nipo njiani nilikuwa na hasira sana, nilipofika nyumbani nikamkuta mke wangu analia sanaa huku amesika kisu bora nijiue mimi nitaenda wapi sasa, nisamehe mume wangu nimekosa nisamehe sana, aisee tukaanza mikimiki pale ya kumpokonya kisu kwanza kabla ya mambo mengi, nikabahatika kumpokonya kisu huku bahati mbaya kikiwa kimemkata mkononi damu kama zote, sasa wakati nilipokuwa kwenye harakati za kumpokonya kisu kumbe nje majirani walikuwa wanasikia zile kelele zake ndipo majirani nao wakaja ili wajue kuna nini, kufika pale wanakuta damu kama zote huku mm nikiwa nimeshika kisu mkononi, mke wangu yupo chini analia “naomba unisamehe hammy nisamehe mimi nitajiua usiponisamehe”, yaan hadi naandika haya sijui hata nimfanye nini huyu mwanamke [emoji51]…..?
Yani sijui maisha hua yana nin jamani..... Mim mtu akicheat na nkaona sms kwa sasa siumii kabisa kabisa kabisa.....na hua namkumbusha atafute mwanamke ambae ananizid baadhi ya vitu na hua nasisitiza atumie kinga basi.... Kwa sasa maisha ya maumivu nishasahau kabisa....... Lkn swala la mwanamke kucheat linatakiwa liangaliwe kwa kina, huenda mwanamke anatabia za kimalaya au amerithi huko kwao.... Chunguza ukoo wao watu walioachika wameachika kwa sabbu gani jibu utakalopata.... Utafanya maamuzi na moyo wako kimya kimya Alf badae sana ndo utamshirikisha mkeo ulichoamua.... Kwa sasa usijiumize sana kichwa maan hali ni ngum vitu vinapanda bei kila siku![emoji16]
 
Ngoja niende moja kwa moja kweye mada husika, jana mida ya saa 10 jioni nilipokea simu kutoka kwa bi mkubwa mmoja wa makamo kidogo miaka kama 55 hivi, huyu bi mkubwa alikuwaga jirani yangu nilipokuwa nimepanga mwanzo na mpenzi wangu.

Baada ya kupokea simu yake alianza kujitambulisha mimi ni mama X hapa jirani yako ulipohama, samahani mwanangu naomba tuonane kuna jambo muhimu sana, nikamjibu sawa mama ila saa hz natoka kazini nikifika nyumbani nitakuja huko kwako akajibu sawa naomba uje usikose nakuomba sana, nikamjibu sawa hakuna shida. Niliitikia wito wa kwenda bila kujua kuna jambo gani limetokea.

Sasa wakati nimerudi nipo nyumbani napata chakula mke wangu yupo pembeni nilimuona akiwa kwenye mawazo sana hadi nikamuuliza unawaza nini?, alichonijibu akasema “hamna siwazi kitu”…nilipomaliza kula nikamuuliza tena una shida gani mbona leo umepooza sana, ndio akaanza kuniambia kuwa kuna jambo limetokea ila anaogopa kuniambia, nikamwambia niambie tu hakuna shida, akaanza kufunguka akitanguliza msamaha kwanza “samahani sana naomba unisamehe huku akilia” nikamwambia niambie kuna nini, akaanza kulia tena nisamehe hamy eti mama X amekuta msj zangu kwenye simu ya mume wake msj ambazo ni za muda sana nilikuwa nachat na mume wake ndio kaziona leo. Kiukweli nilipata presha kidogo nikasema okay hakuna shida, mimi nitaenda huko kwa mama X kuona hizo msj.

Nikampigia yule bi mkubwa nikamwambia mama ndio nakuja huko kwako nikukute akasema sawa, nilipofika kwa yule bi mkubwa akaniambia “mwanangu samahani sana kitendo alichokuwa ananifanyia mke wako ni kibaya sana, hapa nilipo hata sijui nifanye nini?, ila nitamfanya kitu kibaya mke wako”, aisee nilishtuka sana nikamwambia kuna nini?, ndio bi mkubwa akanipa simu akiniambia angalia hizo msj za mke wako alivyokuwa wanawasiliana na mume wangu. Daaah nilikuta msj za hovyo sana tena sana wanawasiliana mara wakutane gest wanayoendaga, mara wakafanye mapenzi kwenye jumba, mara vichochoroni, mara chumbani kwake yaan mzee alikuwa anavizia mke wake akiwa hayupo anamuingiza mke wangu chumbani kwake anaenda kula tunda, mara chooni yaan msj kibao za hovyo, wakati nasoma zile msj yule bi mkubwa alikuwa akilia hadi baadhi ya majirani wa pale wakaja na wao wajue nini kinaendelea ndio bi mkubwa akaanza nae kufunguka “yaan huyu mtoto ambae ni mke wangu, lazima nimfanye kitu haiwezekani kabisa atembee na mume wangu alafu aniache mimi hapa nateseka na familia”, ndio majirani nao wakaanza kufungua, mbona sisi tulikuwa tunajua hayo mambo lakn tulikuwa tunaogopa kuongea maana tungesababisha mauaji, nikasema okay mama hakuna shida.

Nikaondoka zangu wakati nipo njiani nilikuwa na hasira sana, nilipofika nyumbani nikamkuta mke wangu analia sanaa huku amesika kisu bora nijiue mimi nitaenda wapi sasa, nisamehe mume wangu nimekosa nisamehe sana, aisee tukaanza mikimiki pale ya kumpokonya kisu kwanza kabla ya mambo mengi, nikabahatika kumpokonya kisu huku bahati mbaya kikiwa kimemkata mkononi damu kama zote, sasa wakati nilipokuwa kwenye harakati za kumpokonya kisu kumbe nje majirani walikuwa wanasikia zile kelele zake ndipo majirani nao wakaja ili wajue kuna nini, kufika pale wanakuta damu kama zote huku mm nikiwa nimeshika kisu mkononi, mke wangu yupo chini analia “naomba unisamehe hammy nisamehe mimi nitajiua usiponisamehe”, yaan hadi naandika haya sijui hata nimfanye nini huyu mwanamke [emoji51]…..?
MUACHE HARAKA SAANA
 
Hii coment yangu ningekuwa na uwezo ningeiweka kama stiky pale kila mtu akawa anaiona. Nimeiseme mara nyingi na leo nasema tena 👇

KOSA LA MWANAMKE KUCHEPUKA HALISAMEHEKI, HALISAMEHEKI HATA ASHUKE MALAIKA. NARUDIA TENA KOSA HILO HALISAMEHEKI WALA HALIVUMILIKI. HAPANA HAPANA HAPANA
 
Hivi kweli ukiwa umepata haya utakumbuka na kuandika mpaka nukta kwa kweli uongo mmezidi Sana Hadi aibu

Daah
 
Infidelity kwa ndoa za karne imekuwa tatizo kubwa sana.

Kaa na mke wako muyamalize, ukisema umuache huenda ukakutana na kimeo cha kwenda. Hopefully na wewe at some point in your marriage umeshawahi kucheat.[emoji1787]
Hili la kusema nimeshawahi ku cheat na mke wangu a cheat huo ni upumbavu kujilinganisha na mwanamke, hujui wao wanazaa watoto?
Acheni kumkufuru Mungu maana marafiki zake walikuwa na wanawake wengi na aliwabariki Sana,
Ibrahim
Sueiman
Muhammad
Nk nk. Hakuna sehemu mke alikuwa ma waume wengi.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja niende moja kwa moja kweye mada husika, jana mida ya saa 10 jioni nilipokea simu kutoka kwa bi mkubwa mmoja wa makamo kidogo miaka kama 55 hivi, huyu bi mkubwa alikuwaga jirani yangu nilipokuwa nimepanga mwanzo na mpenzi wangu.

Baada ya kupokea simu yake alianza kujitambulisha mimi ni mama X hapa jirani yako ulipohama, samahani mwanangu naomba tuonane kuna jambo muhimu sana, nikamjibu sawa mama ila saa hz natoka kazini nikifika nyumbani nitakuja huko kwako akajibu sawa naomba uje usikose nakuomba sana, nikamjibu sawa hakuna shida. Niliitikia wito wa kwenda bila kujua kuna jambo gani limetokea.

Sasa wakati nimerudi nipo nyumbani napata chakula mke wangu yupo pembeni nilimuona akiwa kwenye mawazo sana hadi nikamuuliza unawaza nini?, alichonijibu akasema “hamna siwazi kitu”…nilipomaliza kula nikamuuliza tena una shida gani mbona leo umepooza sana, ndio akaanza kuniambia kuwa kuna jambo limetokea ila anaogopa kuniambia, nikamwambia niambie tu hakuna shida, akaanza kufunguka akitanguliza msamaha kwanza “samahani sana naomba unisamehe huku akilia” nikamwambia niambie kuna nini, akaanza kulia tena nisamehe hamy eti mama X amekuta msj zangu kwenye simu ya mume wake msj ambazo ni za muda sana nilikuwa nachat na mume wake ndio kaziona leo. Kiukweli nilipata presha kidogo nikasema okay hakuna shida, mimi nitaenda huko kwa mama X kuona hizo msj.

Nikampigia yule bi mkubwa nikamwambia mama ndio nakuja huko kwako nikukute akasema sawa, nilipofika kwa yule bi mkubwa akaniambia “mwanangu samahani sana kitendo alichokuwa ananifanyia mke wako ni kibaya sana, hapa nilipo hata sijui nifanye nini?, ila nitamfanya kitu kibaya mke wako”, aisee nilishtuka sana nikamwambia kuna nini?, ndio bi mkubwa akanipa simu akiniambia angalia hizo msj za mke wako alivyokuwa wanawasiliana na mume wangu. Daaah nilikuta msj za hovyo sana tena sana wanawasiliana mara wakutane gest wanayoendaga, mara wakafanye mapenzi kwenye jumba, mara vichochoroni, mara chumbani kwake yaan mzee alikuwa anavizia mke wake akiwa hayupo anamuingiza mke wangu chumbani kwake anaenda kula tunda, mara chooni yaan msj kibao za hovyo, wakati nasoma zile msj yule bi mkubwa alikuwa akilia hadi baadhi ya majirani wa pale wakaja na wao wajue nini kinaendelea ndio bi mkubwa akaanza nae kufunguka “yaan huyu mtoto ambae ni mke wangu, lazima nimfanye kitu haiwezekani kabisa atembee na mume wangu alafu aniache mimi hapa nateseka na familia”, ndio majirani nao wakaanza kufungua, mbona sisi tulikuwa tunajua hayo mambo lakn tulikuwa tunaogopa kuongea maana tungesababisha mauaji, nikasema okay mama hakuna shida.

Nikaondoka zangu wakati nipo njiani nilikuwa na hasira sana, nilipofika nyumbani nikamkuta mke wangu analia sanaa huku amesika kisu bora nijiue mimi nitaenda wapi sasa, nisamehe mume wangu nimekosa nisamehe sana, aisee tukaanza mikimiki pale ya kumpokonya kisu kwanza kabla ya mambo mengi, nikabahatika kumpokonya kisu huku bahati mbaya kikiwa kimemkata mkononi damu kama zote, sasa wakati nilipokuwa kwenye harakati za kumpokonya kisu kumbe nje majirani walikuwa wanasikia zile kelele zake ndipo majirani nao wakaja ili wajue kuna nini, kufika pale wanakuta damu kama zote huku mm nikiwa nimeshika kisu mkononi, mke wangu yupo chini analia “naomba unisamehe hammy nisamehe mimi nitajiua usiponisamehe”, yaan hadi naandika haya sijui hata nimfanye nini huyu mwanamke [emoji51]…..?
Rekebisha heading wewe boya, sema anatembea na mume wa mtu siyo alitembea na mme wa mtu

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom