Mke wangu amebadilika tabia anataka nimnunulie kijibwa

Jamanii kwani wa kiafrica hamuwapendi??hao wakizungu wana tofauti gani na wa kiafrica??
Wakizungu niwazuri mnoooo ukiwapa mafunzoo wanaelewaaa, pili wanakuwa kwa haraka km ukijua kuwatunza vyema, alafu ni wakubwaa mnooo yani karibu wawe km ndama wa Siku tano
 
Rudi nyuma kuna post zenye picha utawaona wakizungu na wakiafrika, nadhani wakiafrika unawajua basi hizo picha nadhani utaweza kuzitofautisha
 

Mkuu huwa unaenda chumvini kwa mkeo?
Kama huwa huendi kuna theoriz hapa zinajileta (Ila kama tu huwa huendi uvinza) ambazo sio nzuri kwa afya ya moyo na akili yako.
Anyways, labda anahitaji kwa ajili ya ulinzi.
 
Mkuu huwa unaenda chumvini kwa mkeo?
Kama huwa huendi kuna theoriz hapa zinajileta (Ila kama tu huwa huendi uvinza) ambazo sio nzuri kwa afya ya moyo na akili yako.
Anyways, labda anahitaji kwa ajili ya ulinzi.
siri ya ndani mkuu
 
Mm mwenyewe napenda sana mbwa wa kufugwa hasa hasa wa kizunguuu, napenda mnoo kufuga fuga
Penda vyenu, i.e mbwa koko, vya kizungu waachiwe wazungu, wasanii wakiwatumia video qeens wa kidhungu povu linawatoka ila nanyi bila aibu mnapenda mbwa wao wa kizunguπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…