Mbona yule wa kwako hukumuita Gigi Money?Muite GiGi Money
maana kiki ni gigi
na gigi ni kiki
AfreenMIMI NI KIJANA WA MIAKA 23 HUYU NDO MTOTO WANGU WA KWANZA KUTOKA KWA MKE WANGU MUNGU KATUJASLIA WAKIKE NIMPATIE JINA GANI ZURI MAANA KAZI YA KUTAFUTA JINA NIMEACHIWA MIMI BABAA
asante sana nashukuruJenipher! Hongereni kwa kupata mtoto.
waohRebecca 😉😉😉
sifanyi hivyoo yanini mimi...Hongera japo DNA Muhimu
kwanini brotherDah! Miaka 23 tayari umeoa na una mtoto! Bwana mdogo unatutisha wakubwa zako.
yupi ??Mbona yule wa kwako hukumuita Gigi Money?
JanethJasmine
MIMI NI KIJANA WA MIAKA 23 HUYU NDO MTOTO WANGU WA KWANZA KUTOKA KWA MKE WANGU MUNGU KATUJASLIA WAKIKE NIMPATIE JINA GANI ZURI MAANA KAZI YA KUTAFUTA JINA NIMEACHIWA MIMI BABAA
Ila Dogo amefanya safi sana yani. Mapema una ka' kidDah! Miaka 23 tayari umeoa na una mtoto! Bwana mdogo unatutisha wakubwa zako.