The Crushing
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 569
- 903
mmmh.Hongera saana muite mambembe the queen
Mmepe Sizonjee mkuuu la kiutamaduni wa KitanzaniaaaMimi ni kijana wa miaka 23 huyu ndo mtoto wangu wa kwanza kutoka kwa mke wangu Mungu katujalia wa kike nimpatie jina gani zuri maana kazi ya kutafuta jina nimeachiwa mimi babaa
AvrielMimi ni kijana wa miaka 23 huyu ndo mtoto wangu wa kwanza kutoka kwa mke wangu Mungu katujalia wa kike nimpatie jina gani zuri maana kazi ya kutafuta jina nimeachiwa mimi babaa
Majina yamebeba roho usiokoteze majina mitandaoni usiyojua asili yake.. Jina linabeba dhima kubwa sana kwenye mustakabali wa mtuMimi ni kijana wa miaka 23 huyu ndo mtoto wangu wa kwanza kutoka kwa mke wangu Mungu katujalia wa kike nimpatie jina gani zuri maana kazi ya kutafuta jina nimeachiwa mimi babaa
Larissa, Peniel, Clarissa, LovelovieMimi ni kijana wa miaka 23 huyu ndo mtoto wangu wa kwanza kutoka kwa mke wangu Mungu katujalia wa kike nimpatie jina gani zuri maana kazi ya kutafuta jina nimeachiwa mimi babaa