Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemuoa, tukazaa watoto na sasa nimemuacha. Upumbavu upi sasa hapo
Unadhani stroke tishio ni kukuua basi..... stroke inapunguza baadhi ya viungo mwilini vinabaki kama urembo. Ikikuua una bahati nzuri sana. Anyway, sikuhizi hampitishwi jando huwezi nielewa boss.Mimi sina mpango wa kuoa mwanamke wa kuangalia dalili za stroke. Kufa nitakufa tu
Wewe mwenye Kinembee unataka Kiwe kinaning'iniaa nje kama Ulimii wa Mbwaa????? Kuna watu wana vinembee lakini sio makubwa kama unavyotaka wewee....Sikujua
Kwahyo Mkuu, kumuacha siku hiyo ya ndoa ndo ingekua sio upumbavu?
Alafu.mnakuja tukana Single mother's humuTangu siku ya kwanza ulijua kakeketwa kwanini hukumuacha kabla ya kumzalisha? Narudia tena upumbavu MTUPU!
Alafu.mnakuja tukana Single mother's humu
Hapana...namaanisha wanaotukana single motherUmeshwahi kuniona nawatusi single mother? [emoji15]
Ndugu yangu naona kama umemaindi kimtindo, anyway hapa hauamuliwi, ni ushauri tu, maisha ni yako, km kwako ni sahihi hakuna wa kukupinga muftHasara ya kwanza na kubwa na ndo hiyohiyo iliyofanya nimuache ni kukeketwa tu. Full stop!
Amiin, inshaallah.Jokajeusi nilimwambia mwanaume akitaka kuacha...anaacha tu...hakosi sababu...Japo tunaashauriwa tusichezee talaka..lakini akiamua na akadhamiria anakuacha
..Kama huyo alivyosubiria mwanamke.anawatoto wawili anamuacha.masikini.
Mwanamke Huyu Mungu ampe mwanaume atakae ridhika na Hali yake
Halafu hizi sababu za kukaa na mke kwa sababu ya kulea watoto ni sababu za kijahili. Unadhani ukilea mwenyewe watoto wako ndo 100% wanakua bora?! Mbona watu kibao wamelelewa na mama zao tu na baba zao hata hawakuwa na mpango na wamekuja kuwa watu bora??! Usinambie kulea watoto ikawa sbabu ya kurejeaba na mke mimi, sielewiUmemkosea sana......mrudishe mlee watoto labda kama kuna sababu nyingine ya msingi.....watoto wa2 unamuacha mtoto wa watu,then FGM siyo kosa lake......hiyo laana itakuandama