Mke wangu amenifuma chumbani kwa dada wa kazi

Mke wangu amenifuma chumbani kwa dada wa kazi

Aisee! Nimeaibika wakuu mke wangu amenifuma nikiwa nimelala kwenye chumba cha dada wa kazi nikiwa naked tu ila sasa wife nimemuambia mimi nilikuwa chumba dada wa kazi nikijipumzisha tu na dada wa kazi alikuwa ananifundisha kilugha cha cha kabila moja la kanda ya ziwa lakini wife haniamini ameniambia nichukue kitu chochote kilichokuwa changu niende zangu

Wadau hapa nimechoka hapa sijui nifanyeje hapa mimi sina pa kwenda na mke wangu alikuwa kila kitu na yeye ndiyo anenitoa kijiji chetu huko nyaishozi Kagera na hapa dar mie ni mgeni na sijui wapi? Msaada tafadhali msaada wenu wakuu
Una hamu ya kushindiliwa Vinu Wewe sio bure
 
Aisee! Nimeaibika wakuu mke wangu amenifuma nikiwa nimelala kwenye chumba cha dada wa kazi nikiwa naked tu ila sasa wife nimemuambia mimi nilikuwa chumba dada wa kazi nikijipumzisha tu na dada wa kazi alikuwa ananifundisha kilugha cha cha kabila moja la kanda ya ziwa lakini wife haniamini ameniambia nichukue kitu chochote kilichokuwa changu niende zangu

Wadau hapa nimechoka hapa sijui nifanyeje hapa mimi sina pa kwenda na mke wangu alikuwa kila kitu na yeye ndiyo anenitoa kijiji chetu huko nyaishozi Kagera na hapa dar mie ni mgeni na sijui wapi? Msaada tafadhali msaada wenu wakuu
Aisee!Utakuwa unatetemeka sana.Rudi Kaishozi ukakamate senene tu.
 
je, ni kweli ulikuwa unafundishwa kilugha, na kama ni kweli ni kwanini ulale tena uchi?
 
Aisee! Nimeaibika wakuu mke wangu amenifuma nikiwa nimelala kwenye chumba cha dada wa kazi nikiwa naked tu ila sasa wife nimemuambia mimi nilikuwa chumba dada wa kazi nikijipumzisha tu na dada wa kazi alikuwa ananifundisha kilugha cha cha kabila moja la kanda ya ziwa lakini wife haniamini ameniambia nichukue kitu chochote kilichokuwa changu niende zangu

Wadau hapa nimechoka hapa sijui nifanyeje hapa mimi sina pa kwenda na mke wangu alikuwa kila kitu na yeye ndiyo anenitoa kijiji chetu huko nyaishozi Kagera na hapa dar mie ni mgeni na sijui wapi? Msaada tafadhali msaada wenu wakuu
Usisahau kumchukua na mkeo,maana na yeye ni kitu chako hicho pia!!
 
Rule no one: Bisha/kataa kuwa sio wewe,hata kama umekutwa juu ya kiuno.

Then mengine yatafuata.
 
Aisee! Nimeaibika wakuu mke wangu amenifuma nikiwa nimelala kwenye chumba cha dada wa kazi nikiwa naked tu ila sasa wife nimemuambia mimi nilikuwa chumba dada wa kazi nikijipumzisha tu na dada wa kazi alikuwa ananifundisha kilugha cha cha kabila moja la kanda ya ziwa lakini wife haniamini ameniambia nichukue kitu chochote kilichokuwa changu niende zangu

Wadau hapa nimechoka hapa sijui nifanyeje hapa mimi sina pa kwenda na mke wangu alikuwa kila kitu na yeye ndiyo anenitoa kijiji chetu huko nyaishozi Kagera na hapa dar mie ni mgeni na sijui wapi? Msaada tafadhali msaada wenu wakuu
hahahahah wahaya bhana loooh
nimecheka mie jamani
 
Aisee! Nimeaibika wakuu mke wangu amenifuma nikiwa nimelala kwenye chumba cha dada wa kazi nikiwa naked tu ila sasa wife nimemuambia mimi nilikuwa chumba dada wa kazi nikijipumzisha tu na dada wa kazi alikuwa ananifundisha kilugha cha cha kabila moja la kanda ya ziwa lakini wife haniamini ameniambia nichukue kitu chochote kilichokuwa changu niende zangu

Wadau hapa nimechoka hapa sijui nifanyeje hapa mimi sina pa kwenda na mke wangu alikuwa kila kitu na yeye ndiyo anenitoa kijiji chetu huko nyaishozi Kagera na hapa dar mie ni mgeni na sijui wapi? Msaada tafadhali msaada wenu wakuu
Kwahiyo wewe ni MARIOO
 
Back
Top Bottom