Mke wangu amenifuma chumbani kwa dada wa kazi

Una hamu ya kushindiliwa Vinu Wewe sio bure
 
Aisee!Utakuwa unatetemeka sana.Rudi Kaishozi ukakamate senene tu.
 
je, ni kweli ulikuwa unafundishwa kilugha, na kama ni kweli ni kwanini ulale tena uchi?
 
Usisahau kumchukua na mkeo,maana na yeye ni kitu chako hicho pia!!
 
Rule no one: Bisha/kataa kuwa sio wewe,hata kama umekutwa juu ya kiuno.

Then mengine yatafuata.
 
hahahahah wahaya bhana loooh
nimecheka mie jamani
 
Kwahiyo wewe ni MARIOO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…