Mtunisia mweusi
Member
- Oct 19, 2023
- 74
- 73
- Thread starter
-
- #101
Hili hasa ndio nimeamua tatizo hiyo smart sijamnunulia mimi hivyo ugomv utakuwa mzito mno.mkeo inabidi ukae nae chini umhoji kwanini alipiga hizo picha?
Lengo ni nini? Anazipeleka wapi?
Asipokupa majibu ya msingi usimpige wala kumfukuza ila mnyang'anye iyo smartphone alaf mpe kiswaswadu
Kwann kanipoga?Sasa si ungezifuta tu .... au zina password?
Kwann kanipogaSasa si ungezifuta tu .... au zina password?
Nalala na boksa au buka nyepesiUnalalaje unakoroma uchi matako wazi...
Hapana huwa ananifunua silalagi uchiUnalalaje unakoroma uchi matako wazi...
Unakuta kidume anamiliki BIG TAKO kuliko mke wake, kwanini asiyapige picha kwa mfano!Ukute kafungua group telegram anayanadi makalio yako 😹😹😹
Nalala ubavu mzee juu hapana hata dini hapendekezi hivyokwani unalalaje mkuu?
acha kulala kama demu Lala kuangalia juu
Kitu gani ?Broda nakuhakikishia kina kitu hakiko sawa.
Hapana sio jambo jema hakupaswa kufanya hiviHuwa wanasema: ukipekua yasiyokuhusu utakutana na yanayokuumiza. Kwakuwa ni makalio yako, muulize sababu na kazi ya hizo picha.
Ignorance is bliss.
maskini cheupe dawa wa watuUkute kafungua group telegram anayanadi makalio yako 😹😹😹
dini gani hio?Nalala ubavu mzee juu hapana hata dini hapendekezi hivyo
Asee huyu leo nikirud qtanitambuaMchunguze kama anatazama picha chafu, isije ikawa picha chafu zishaharibu ubongo anawaza kukutindua na yale madude yao ya bandia ukute kaona huko kwenye hayo mapicha.
Inaonekana ni za muda tofautYalifunuliwa mara 1,picha zikapigwa 71
Huwa nalala na nguo sema amenifunua mpuuzi huyubwana usiogope,sie wanawake pia hua tunapenda sana kugusa na kuangalia body shapes za wanaume wetu.
ukiona hivo ujue anapenda sana your butts[emoji4] cas uko vizuri on bed, usijari kijana wangu
sema jitahidi uwe unavaa pensi au boxer ukiwa unalala kijana, dont sleep totaly naked sio vizuri sana ila now do that cas ushajua mkeo anapenda kukutazama
Hii imenitoa hasira zaid leo nisilotangazwa kwnye habari sijui.Ila Kuna watu wannalala vipi sijui unaweza mshika unavyotaka akiwa ni sampuli hii basi tena
Sasa analala uchi mpaka wife kapiga Haga picha na kama ni boxer huyo mke ana ujasiri gani wa kumshusha boxer na hakuna ajenda ya kuchakata??
Na mkewe anatafuta nini kwenye matako ya jamaa ama ana mzigo wa haja ?
Ama ukute mke ana mchepuko ko wakati anam chakata ana mwambia ngoja nikunyooshe na nataka picha za makalio ya mumeo hapa 😂
Labda anakuhisi unaliwa mkuu! Hivyo anachunguza kimya kimya.
Labda jamaa alikuwa anajamba sana usingizini akataka kuona isije wameng'oa brekiWanawake sijui wanaambiana nini kuhusu makalio yetu wakiwa kwenye vikao vyao. Kuna mwingine aliwahi kushtuka usiku akakuta mkewe ana mmulika na tochi matakoni.
Huyu leo atajutaSubiri mkiachana ndio utajua sababu ya picha za tako
Huwezi kujua.Hapana ndugu yangu ashiriki na wala hajawai