Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Tupake unamng'arishia nani😀😀
Ni kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...
Unatafuta nini kwenye makalio ya wanaume?Ni kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...
Kubababake😂😂😂😂Daaa sema sio mbaya mkeo anajaribu kutafuta soko ili mtoke kwenye nyumba ya kupanga
Bila hizo picha huu Uzi ni batiliJana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Picha ya mke au yaliyomo kwenye gallery?BIla picha hata moja huu uzi ni batili
Yaliyomo kwenye galleryPicha ya mke au yaliyomo kwenye gallery?
Sasa mwanaume apake mafuta kalio ili iweje.Ni kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...
Umejuaje kama ni makalio yako mkuuJana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
mpake wakwakoNi kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...
Aseeh kama BRAZA CHOGO ndo zake huyuNadhani mke wa Mtunisia mweusi ni BRAZA CHOGO au Mshangazi kwa sababu hakuna mtanzania mwingine mwenye tabia kama zile.
Hatutaki na mtuache, hii mada kama mmeambizana.Ni kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...